Habari za jumapili wana MMU,
Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???