Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Na utagushi vipi nyaraka kwani Sheria za kutoa mikopo zipo vipi bank gani inayotoa mkopo kiholela
Yaani madem Wa bongo wanapenda mteremko sana aisee, ona Sasa yanamtokea puaniHili nalisemea ili liwe fundisho kwa wanawake ambao wanaingia kwenye ndoa kwa tamaa ya mafanikio ya mwanaume ili wakinukishe wagawane Mali.
Hili limemtokea mwamba Fulani jirani yetu hapa. Mwanamke kachukua mkopo akagushi nyaraka kuonyesha kuwa huo mkopo wamekubaliana na mmewe, baada ya kuchukua mkopo huo kwa siri bila mmewe kujua na baadae mambo yakamuendea kombo jamaa wa mikopo wakaja kupiga nyumba mnada
Unajua nini kilitokea..
Nyaraka za nyumba na kiwanja si za kwao za mama mzazi wa mwanaume kwa hiyo kesi ikamgeukia mwanamke ajibu na alipe mkopo.
Ndoa ikavunjika na wakati wa kugawana Mali mwanamke aliambulia nguo zake na jiko la mkaa na vyombo.
Hili ni kwa wanawake wachumaji ila kwa mwanamke material aliyekamilika unaweza ukamfikiria, japo wanawake wapo kama kinyonga unaweza kubadilikiwa anytime.
Kuwa muangalifu tulinde musitakabali wa familia zetu
Bank ilitoa mkopo kwa dhamana ipi??? Kama ni nyumba kwa hati ipi inayoonesha mama wa mume ndo mmiliki??????? Chai kama imekuwa nyeusi sanaaa na chungu nadhani umezidisha majani mkuuHili nalisemea ili liwe fundisho kwa wanawake ambao wanaingia kwenye ndoa kwa tamaa ya mafanikio ya mwanaume ili wakinukishe wagawane Mali.
Hili limemtokea mwamba Fulani jirani yetu hapa. Mwanamke kachukua mkopo akagushi nyaraka kuonyesha kuwa huo mkopo wamekubaliana na mmewe, baada ya kuchukua mkopo huo kwa siri bila mmewe kujua na baadae mambo yakamuendea kombo jamaa wa mikopo wakaja kupiga nyumba mnada
Unajua nini kilitokea..
Nyaraka za nyumba na kiwanja si za kwao za mama mzazi wa mwanaume kwa hiyo kesi ikamgeukia mwanamke ajibu na alipe mkopo.
Ndoa ikavunjika na wakati wa kugawana Mali mwanamke aliambulia nguo zake na jiko la mkaa na vyombo.
Hili ni kwa wanawake wachumaji ila kwa mwanamke material aliyekamilika unaweza ukamfikiria, japo wanawake wapo kama kinyonga unaweza kubadilikiwa anytime.
Kuwa muangalifu tulinde musitakabali wa familia zetu
Na mwanamke hawezi telekeza watoto utapokuwa haupo lakini ndugu zako wakijitahd haitazid mwezi watoto wataanza kukiona cha motokama aliponioa hakua na nyumba tukajaaliwa kujenga amwandike mama yake kwa misingi gani?? cha mama akeni kile alichochuma na baba yake yan kama tumechuma pamoja lazima niwepo kwenye documents
hayo mambo ya kumpa mama mwisho wa sikumama anaenda mbele za haki mashemeji na mawifi wanikalie rohoni kisa nn??
Kipi? Wakati hati za mali zina majina ya mama... Sasa hiyo ndoa kama alifunga na mama aende akamdai maana mimi kisheria sina maliLakini sheria itamlinda mwanamke kwa kile kilichopatikana wakati wa ndoa yao, haya mambo sio marahisi kama yanavyoonekana
Soma ueleweBank ilitoa mkopo kwa dhamana ipi??? Kama ni nyumba kwa hati ipi inayoonesha mama wa mume ndo mmiliki??????? Chai kama imekuwa nyeusi sanaaa na chungu nadhani umezidisha majani mkuu
Kwa nini mnawaza mume au mama akifa? Mke hafi? Tuwazie mke akifa inakuwaje?Sijasoma...ila nyumba yenye jina la Mama Ni urithi wa watoto wa huyo Mama...kujenga Wewe alafu ukaandika jina la Mama yako...inamaana umempe
Na akifa mama... watoto wake huyo mama Wana haki ya Kurithi HIYI NYUMBA....
So usitegemee mkeo eti umekufa Mama yako nae akifa atapa kitu na hao watoto wataishi kwa rehema za Ndugu walio baki
Inamlindaje wakati nyumba inaonekana ya mama. Labda vyombo, flat screen na viblenda blenda na sabufa tu.Lakini sheria itamlinda mwanamke kwa kile kilichopatikana wakati wa ndoa yao, haya mambo sio marahisi kama yanavyoonekana
Acha FIX Mkuu, kuna benki gani inayoweza kukopesha mtu kabla ya kujiridhisha kwanza na uhalali wa nyaraka? Unadhani huku ni FACEBOOK kwa watoto wenzako, eti?