The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
-
- #81
Sana tuUnaonekan umechukia xn...mwambie sasa,km uko poa co kitu mlee tu jamaa kwan k2 gn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Jamaa mzito hata hajiongez.Sana tu
Nilijaribu kumweleza lakin akawa haelewi
Tena siku hiyo nikamchana live kuwa asiniombe hela kwan nami nabangaiza tu,akasema ok,baada ya siku mbili ananambia naomba unitoe out,nikamjibu poa nakuja,nikazima simu nikalala
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo,kanitongoza mwenyewe na lengo lilikuwa kupata kitongaHakuna mwanaume mariooo, kitu kilichopo ni kuwa ww unakuwa unampenda huyo mwanaume zaidi ya yy anavyokupenda ndio maana unatumia nguvu kubwa kumfanya yy awe wako
Na ndio maana unampa pesa na kumgalamia kila kitu yy kazi yake inakiwa ni moja tu kukupa show
Yes sasa utasema huyu si marioo?na kazi anayo
Alikuwa anafocMkuu unamvalisha mtu... Unamlisha... Unampa pakulala... Na hela ya matumizi unampa ...duuuhh aiseee uko njema.
Sasa haya yote kama unayafanya kwa moyo wako then stop bad mouthing your Ex to others ... Usikute nayeye anasema nimepata "Lisugar dada linaniweka town".
Michepuko isiyo misumbufu ya aina hii ndo naipendaga sana, aloo siku ukiwachoka sana niPM.Ok
But trust me sijawahi watongoza hata mmoja,and I live a very normal life
Wa mwisho nilimwambia please don't ask me for money,coz alikuwa daily ananililia shida,akasema nimemdahlilisha
Me nimelelewa to find for my self,siombiombi hovyo
May be nianze kuwapiga mizinga kabla hahahah
Hahaaa aseeKama ni face off na pia ni flat screen alafu tena umri umekutupa mkono lazima ulipie chululuu.
Sasa unaendelea nae wa nini? Do u tink he 'll change?Hujanielewa jaman
Ishu ni kuwa anaomba hela kila leo,halafu sijawahi mwomba hata na haijalishi sina uhitaji,ila mkiwa na rafiki zake anaspend hela balaa,akiwa nami hatoi hata mia
Huyu ni gold digger wa kiume ,tusimtetee jaman
Kama mwanaume anapaswa kubadilika,vinginenvyo hakuna mwanamke atakaye mchukulia serious,
Inaonekana ana mihela huyo dada!Unakutana wap na hizo type jaman? Yani mm kabla cjaolewa enzi za kudate ilikuwa mwanaume nnae date nae hata akinibip tu naanza kuwa na mashaka aisee, au kuwa na mwanaume anaependa kutuma msg kupiga cmu mara moja moja aisee naanza kupata mashaka, eti ndo uniombe hela block itakuhusu saa hiyo hiyo, huwa nikisikia wadada wanasema wanaombwa hela na wanaume nabaki kushangaa, how? Anaanzaje? Amekuonaje? Au ww ndo umemtongoza?
Sasa huyo hata K ulimpa ya nini? Haikuumi? HaaahaaaNope mie ndio nimemwacha,toka alovyoanza mizinga nikampiga chini kimyakimya. Eti jana ananambia tukutane leo tuzungumze,wakati najua hata tukikutana gharama zote ntalipia mie wakati naye ana kazi.nikamjibu kesho naenda site coz lazima nitafute hela nijiweke mjini lasivyo ntaadhirika.akakasirika na kukata simu.binafsi sipendi kuombwa hela nilizozipata kwa tabu kizembezembe tu tena na dume lenye kazi yake.
Mara aniombe nauli,mara ada anataka kwenda ongeza masomo,mara tukitoka out anataka umpe nauli yakurudia kwake,hadi aibu kuelezea.si udangaji huu.ndo ishatoka hiyo hanipati ng'oo manake mwanaume kama huyu hata akikuowa majukumu yote ya familia atamwachia mama.hhalafu unategemea mwanamke akuheshimu?wakati una kazi na hela zako anajua unaspend na marafik zake kwenye mabaa.?kweli jamii imeharibika sana na ni aibu kwa kizaz kijacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujakutana na wakuhudumia aisee karibu nipo free ila ulithathmini kwanza isiwe ndo ile bao la sita unaanza lalamika umechoka!!! If u are ready mostly welcome!!!!Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
We nawe mie nafanya kazi naishi peke yangu kwahiyo hata nguo nisijinunulie,nisilipe kodi,nisinunue chakula nisubiri aje mwanaume kutoka huko aje anifanyie hayo sio?inshort nisiishi maisha yangu nisubiri kuna mwanaume atakuja nitimizia hayo?
Mtu huyu kanikuta na maisha yangu,kanitongoza hatuna hata mwezi anaanza kuniomba hela.kwani nilimwita?inshort ni opportunist kaniona niko njema ndo kuingia na gia ya mapenzi akidhan am stupid
Nilimsuspect toka awali,nilikuwa namlia timing nijoridhishe ili nimwage. Na nishafanya hivyo. Sihitaj marioo in my life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nabangaiza tu
Hahaaahaaa eti lihamie kwako! Duuh huyo akaolewe!I know
Lilikuja likadhan litanichuna
Tena lilikuwa linaforce hadi kuhamia kwangu,ili iweje?nachojua wanawake ndo tunatabia ya kuhamia kwa mwanaume,nikampiga marufuku kuja kwangu.
Likajidai kununa wakati niligundua motive yake from the beginning ni kutumia sex aniteke kimahaba then lianze nitumia ama kuniblackmail.am way too smart to be blinded by sex machines.walokutuma wambie she is too smart,tumieni mbinu za usa ama urusi,ila kibongo mmefeli.
Sent using Jamii Forums mobile app