Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 1,418
- 4,311
- Thread starter
- #41
Kuuliwa huyo simple sana..unaishi karne ya 1st Dimension wakati duniani tupo level za 7th dimension fungua code kama utawezaGwajima huwezi kumteka kindezi kwa ulinzi wa kufa mtu alionao, itabidi ufunge mtaa kwanza na mkono upigwe kisawasawa uwashinde walinzi wake ndio umbembe mzobezobe umtupie garini halafu gari litoke nduki wananchi wenye hasira wasijue nini kimetokea. Kwanza yeye mwenyewe yuko full mkoko ukiingia vibaya unakula shaba. Huyo si kama wale waliotekwa na kushambuliwa kindezi