Wanasubiri Gwajima aingie mtegoni wabonyeze button, wammalize

Wanasubiri Gwajima aingie mtegoni wabonyeze button, wammalize

Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha.

Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
ukitaka kuishi vizuri hapa duniani,achana na wake za watu,dhuluma,wizi,utapeli,ushirikina na"ogopa sana SERIKALI' ukiweza kuwepa izo mamboutaishi masha marefu sana,,, kwepa sana kupanda bodaboda na kunywa pombe kali!!
 
HOJA YAKE:NI NANI ANA HUSIKA NA UTEKAJI, UTESAJI NA MAUAJI?
MAJIBU YANATOKA CCM!: huyu sio mwenzetu, tumfute uanachama! futa kanisa lake, anavunja umoja na amani yetu, katumwa na mabeberu!
 
Ile kauli ya "mimi sifi " inanipa moyo sana. Huenda amejiimarisha sana katika ulimwengu wa roho.
 
Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha.

Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Nna hakika Ngwajima ataibuka na ushindi mkubwa sana in all perspectives including spiritual and physical ,yaan madui zake najua watasambaratishwq wawe hoi bin taaban
 
Wachache tuna faili lake kuhusu anayoongea ni tofauti na anayotaka kuyatekeleza. Gwajima ni mhaini mwingine baada ya Lissu.
Faili la yule mtekaji wa uvccm wa Kagera aliyesema mtu alipotea polis wasiangaike kumtafuta?
 
Mbona nimesoma online Gwajima tayari chalii wameshamtia kwenye kona kanisa lake limefungiwa tayari. Siasa sio nzuri ogopa sana.
 
kina JPM walibonyeza nyingi tu wako wapi?
 
Kwamba amefanya nini? Mbona mko kama mbwa...yani mtu anatetea uhai wa watu nyie mnamtisha...@€££¥₩₩# zenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom