Wanasubiri Gwajima aingie mtegoni wabonyeze button, wammalize

Wanasubiri Gwajima aingie mtegoni wabonyeze button, wammalize

Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha. Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Ukimfuatilia gwajima speech zake unaona ni mtu anapenda sana kusoma vitabu kuna siku ilikuwa anachambua kitabu cha "THE ART OF WAR" kanisani kwake ila huwezi kumuelewa kama sio msoma vitabu. Ninachotaka kusema labda wampige risasi au wamroge lakini kwa njia yoyote ile hawataweza inaonekana amesoma sana vitabu vya kijasusi kipindi cha corona aliitwa kwenye kamati ya maadili akakataa kiti na mike. Mpaka hapo inaonekana gwajima amechukua tahadhari zote na anawajua CCM nje ndani na yupo tayari kwa lolote mpaka sasa ngoja tunywe supu nyama Ziko chini.
 
Gwajima huwezi kumteka kindezi kwa ulinzi wa kufa mtu alionao, itabidi ufunge mtaa kwanza na mkono upigwe kisawasawa uwashinde walinzi wake ndio umbembe mzobezobe umtupie garini halafu gari litoke nduki wananchi wenye hasira wasijue nini kimetokea. Kwanza yeye mwenyewe yuko full mkoko ukiingia vibaya unakula shaba. Huyo si kama wale waliotekwa na kushambuliwa kindezi
 
kuna mtu hapa jf nilimwambia we si unapenda ccm utakufa mpaka leo sijamuona sasa zamu yako.kama sio wewe unaishi nao sitaki vilio maana wengine machifu
Kama ukimwambia mtu anakufa
Kwa nini usianze na huyo mnaye mchukia?
 
Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha. Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Kwa hiyo wewe unabariki utekaji? Kifo cha Binadamu kwako ni sawa na Panya buku!!! You don't care at all.
 
Kama ukimwambia mtu anakufa
Kwa nini usianze na huyo mnaye mchukia?
wewe sio mwenye ratiba.ndio maana wanamsumbukia kila mara utasikia dua sijui maombi.Karama is bitch if use death karama give death
 
Hana cha kupoteza hali kwa matako anakula amesimama na ashajua harudi kuzimu kachagua njia iliyo nyooka.
 
wewe sio mwenye ratiba.ndio maana wanamsumbukia kila mara utasikia dua sijui maombi.Karama is bitch if use death karama give death
Tusiandikie mate wakati wino ungalipo.
Niombee Mimi nife, ikiwa wewe ni chifu sijui umetokana na machifu.
Wanga ña roho mbaya ndio huanzaga hivi hivi
 
Tusiandikie mate wakati wino ungalipo.
Niombee Mimi nife, ikiwa wewe ni chifu sijui umetokana na machifu.
Wanga ña roho mbaya ndio huanzaga hivi hivi
hata kwenye historia za dini kulikuwa na watu kama wewe hata kama kuna sherehee wao watabisha kuwa sio sheree.
kuna wisdom nilisoma sio kila mtu aliyopo duniani kuwa bidamau inawezekana kuwa ulitakiwa kuwa mnyama.
kama wewe kambale
 
Button wapi kwenda bhana button button muueni basi na akifa tunajua ni nyie na mlivyowapuuzi mtatuma watu wa kumuwekea sumu au kumdhuru ila mtashindwa tu
 
Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha. Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Hiyo dawa utakunywa wewe na waliokutuma mlitaka kumdhuru TL mbona boss wenu alitangulia futi sita chini before TL kwendeni huko bhn
 
Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha. Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Keshajaa
 
Nyie neng'enekeni tu ,ataliasha dude na kuwataja watekaji na sponsors wao ,ana list hadi walipopelekwa hao waliotekwa...Kaeni kwa kutulia.
Hahaha yule hawamuwezi na hana kosa lolote wala ubaya wowote alioufanya.
 
hata kwenye historia za dini kulikuwa na watu kama wewe hata kama kuna sherehee wao watabisha kuwa sio sheree.
kuna wisdom nilisoma sio kila mtu aliyopo duniani kuwa bidamau inawezekana kuwa ulitakiwa kuwa mnyama.
kama wewe kambale
Angalau kambale ana ndevu
Kuliko wewe tapeli usio na haya Wala hujui vibaya.

Hujui hapa ni dole ushuke au ufike mchambawima,
Maana kichanga unju ulishapita, unatoa Kisenvule ila sisi hatuishi Mwanambaya.

Sisi wa kutokea Luzando, huyu Mwana Mleni, maana hapajui Mkoga Wala hajafika Tambani.

Yeye anajua kutoa Sanvu la chole na kituo chake Cha kushukia kwa mparange.

Kuwa na adabu, mtu sio mdudu.
Kama kweli una hizo nguvu niloge Mimi nife leo leo.
 
Dawa yake ishachemka na kuiva anasubiri kunyweshwa tu. Kuna button ikibonyezwa kiherehere chake chote kwisha. Niko pale nimekaa nakunywa zangu Captain Mogan na kitimoto choma.
Kwamba kama wewe unaweza kuwa na hizo taarifa na kuja kuziandika hapa, yeye ni mpumbavu kiasi hicho? Acheni kutisha watu bhana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom