Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,306
Reaction score
7,239
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.


View: https://vm.tiktok.com/ZMSe2cwPN/
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Kimemramba uto
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Kimemramba uto
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Sahihi kabisa na moja ya jambo la kwanza watakalotaka kufanya ni kuhakikisha fainali haichezwi kwa Mkapa. Watatumia watendaji wa serikali, meneja wa uwanja, wakaguzi na wengine kufanya hujuma hiyo. Tayari dalili nimeziona. Ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa naona uwezekano wa 70% hadi 80% ya fainali kuchezewa Zanzibar.
 
Simba na Yanga hata wachukue kombe la Dunia, Watanzania wenzetu hawana madawati, hawana madawa, hawana maji n.k itafaa nini?
Tuwe na kiasi kujadili haya mamipira
Kila jambo lina muda na platform yake ya kujadili. Ndiyo maana hauoni mada za Simba na Yanga kule jukwaa la siasa, jukwaa la elimu, jukwaa la afya, nk. na mada za moto zipo tu nyingi kule ingawa siku hizi siingii huko kwingine mara kwa mara.
 
Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Kujadili ndio kutaleta hayo ?

Huyu anayejadili mpira ndio analipa Kodi na kuwaweka walamba asali na kuwalipa ruzuku waliopo kwenye siasa ili waweze kufichua na kumpakulia mambo ambayo hayapo sawa...; Yeye anafanya kazi yake wale waliopo kwenye hizo mambo as full time ndio wana come short

Life without entertainment is not worth living....; by the way unajua kuna nchi bila mamipira hata usingezifahamu wala zisingesonga mbele bila hiyo mipira ? (Kwahio hapo utagundua ni watunga sera na wenzao kushindwa kutumia na ku capitalize mapenzi ya mipira kwa watu wao katika ujenzi wa nchi)

 
Haya ndiyo mambo ccm wanapenda kuona waTanganyika masikini mkikesha nayo usiku na mchana
Ni Kwa sababu huna akili tu ndio maana unasema hivyo.
Hujui maisha yangu.
Nakuhakikishia vyovyote ulivyo hunifikii kwa chochote.
Mpira ni burudani,mchezo na starehe.
Tunatafuta Hela ili tule Raha,mmojawapo ya Raha zetu ni Simba kufanya vizuri.
 
Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Nenda kwenye majukwaa mengine ukaone michango yangu ilivyo ya maana.
Usidharau michezo hata huko first world wanajadili michezo na wametuzidi kwa michezo yote na maendeleleo ya sayansi, tech, uchumi na Elimu.
 
Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Kwahiyo, hayo unayotaka yajadiliwe, ifanyike hivyo kwenye jukwaa la michezo..??? Na majukwaa ya siasaa (Katiba mpya), Ajira za vijana, Kilimo, Technology, Biashara n.k kujadiliwe vitu gani.??

UJINGA NA UFALA NI PAMOJA NA KUJADILI MAMBO KWENYE MAENEO YASIYOHUSU MAMBO HAYO
 
Sasa Profesa, biashara na ajira za vijana si ndiyo mamipira yanahusika pia?
Haelewi kitu huyo uto.
Kwa Sasa football inachangia ongezeko la pato la taifa.
Kutokana na ongezeko la uwelezaji kwenye soka,mishahara ya wachezaji na biashara ya vifaa vya mpira
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Nyumbu kwa akili zenu mna timu ya kumfunga Berkane? ni given kwamba kipigo kipo, nyie komaeni tu kupunguza idadi ya magoli ila sio kushinda au ndoto za kuchukua kombe lolote.
 
Back
Top Bottom