Wanasiasa wengi wa kizanzibari ndani ya serikali ya muungano wana "inferiority complex"?

Wazanzibar hawajui wanawakilisha nini kwenye JMT. Hawajitambui hata wabunge wao hawaeleweki bungeni wanawakilisha nn. Huwa waniacha hoi unapokuta wanashupaa na ishu ya wachimbaji wadogo wa dhahabu wa Geita wakati jambo kama hilo halina effect yoyote kwa Zanzibar.

haha..ndivyo hivyo hivyo wakirudi kwao huwa hawana cha maana cha kuongea na wengine.Ni kujaribu kuwaonyesha kuwa wanathubutu kuulizia muungano wakiwa Tanganyika.
 
Wanzanzibar wamekomaa kisiasa,pia msimamo wa dini inawafanya wawe na uadilifu!unaposema hawana uchungu ni nani alifanya mapinduzi ya uchumi huria kama sii mzee mwinyi???

Kwani mzee Mwinyi ni mzanzibari???
 
BONGOLALA najua wewe ni kada wa chadema lakini ndugu yangu katika IMANI hawa jamaa sio wenzako,wanaichukia dini yako kupita maelezo,ndugu yangu STUKA,hebu anza kufanya research haya niyasemayo halafu njoo na feedback cc Ritz

kuwa punguani ni kitu mbaya sana!
 
Last edited by a moderator:
Wale msiotaka kunielewa mtambue kuwa haya ni matokeo ya muundo mbovu wa muungano.

Wazanzibari wengi wanaamini serikali ya muungano ni serikali ya Tanzania bara na hivyo wao kujiona wako less concerned including mawaziri.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifuatilia sana wanasiasa kutokan zanzibar walioko katika serikali ya muungano na nimegundua wengi wao wanaonekana kuupooza sana kiutendaji kwani ni nadra sana kupata mwanasiasa "machachari" ndani ya serikali ya muungano.Siku zote wanasiasa wenye majina kutokana na uchapakazi wao ndani ya serikali ni watu kutoka Tanzania bara.

Wanasiasa hawa ninaowaongelea ni wale walioko au waliowahi kushika nafasi za umakamu wa raisi,waziri mkuu,mawaziri na hata nafasi ya ukatibu mkuu.Siku zote katika serikali ya muungano, majina yanayovuma miaka nenda,miaka rudi ni ya watu kutoka bara,mfano,majina kama,Sokoine,Mrema,Mwakyembe,Magufuli n.k lakini kamwe si watu kutoka Zanzibar licha ya wao nao kushika nyadhifa kama hizo.

Nadhani kwa mazingira hayo hayo ndio maana hata pia ni nadra kusikia mwanasiasa kutokan Zanzibar akituhumiwa kwa kashifa kubwa kubwa kama ufisadi,wizi,matumizi mabaya ya madaraka n.k.

Mimi nafikiri tatizo kwa hawa ndugu zetu wanapokuwa ndani ya serikali ya muungano wanakuwa na kitu kinachoitwa "inferiority complex" na pengine msingi wa hali hii ni serikali ya muungano kutazamwa zaidi kama ni serikali ya Tanzania bara na Zanzibar kuonekana kama haina nafasi,imetengwa au haihusiki sana.

Jamani hili ni tatizo ambalo linapaswa kuwekwa hadharani na pengine limo ndani ya zile "kero za muungano".

Ni mtazamo tu based on "circumstantial evidence".

Nawasilisha.



Veryvery simple! Ni watu wa sehemu mbili tofauti, wengine kujilabu ndio utendaji na wengine busara ndio utendaji!
 
wazanzibari as a whole wana INFERIORITY COMPLEX

si wanasiasa tuu mpaka raia

mie wananiudhi kijidai wao waarabu na kujiita AL SAID sijui al HABSHI sijui al BARWANI

sasa kama wao wanajiona wa Oman kwa nini wasirudi kwao MASKATI?

sasa naelewa kwa nini karume aliwalazima waolewe na waafrica

There you are! Sijui unaijua inferior complex kiasi cha wewe mwenyewe kujivusha nayo?
 
Wazanzibar hawajui wanawakilisha nini kwenye JMT. Hawajitambui hata wabunge wao hawaeleweki bungeni wanawakilisha nn. Huwa waniacha hoi unapokuta wanashupaa na ishu ya wachimbaji wadogo wa dhahabu wa Geita wakati jambo kama hilo halina effect yoyote kwa Zanzibar.

Kama unayajuwa haya kwanini humshangai alietowa mada? Inahusu nini kama ulivyosema kujishughulisha na jambo lisilokuhusu?
 
BONGOLALA najua wewe ni kada wa chadema lakini ndugu yangu katika IMANI hawa jamaa sio wenzako,wanaichukia dini yako kupita maelezo,ndugu yangu STUKA,hebu anza kufanya research haya niyasemayo halafu njoo na feedback cc Ritz

Yaani tumeingia kwenye dini sasa? Hebu tueleze jee nyie mnaipenda hiyo dini yao?
 
Wale msiotaka kunielewa mtambue kuwa haya ni matokeo ya muundo mbovu wa muungano.

Wazanzibari wengi wanaamini serikali ya muungano ni serikali ya Tanzania bara na hivyo wao kujiona wako less concerned including mawaziri.

Sikujua kama kuiba na kufanya ufisadi ndiyo sifa kubwa, kwani hata hapa asilimia kubwa ya wanaosifika ni wale waliochota na kujenga majumba ya kifahari ambayo gharama zake ni nje ya uwezo wao.
 
HE kumbe kua fisadi ni sifa?
Hata hivyo kimsingi kuna baadhi ya vyeo ktk Jmt vipo kama picha tu kuwahadaa wazanzibar wajione nao ni sehemu ya Serikali.

Wazanzibari wanajuwa hilo na ndio maana wanatafuna tu huo mrungura!
 
wazanzibari as a whole wana INFERIORITY COMPLEX

si wanasiasa tuu mpaka raia

mie wananiudhi kijidai wao waarabu na kujiita AL SAID sijui al HABSHI sijui al BARWANI

sasa kama wao wanajiona wa Oman kwa nini wasirudi kwao MASKATI?

sasa naelewa kwa nini karume aliwalazima waolewe na waafrica

Huo uwaarabu umeingia vipi humu we mburula? Wewe endelea kuganga njaa kwenye hayo maduka yao hao basi, ukiona unashindwa rudi kwenu killage ukakomae na kilimo, sio lazima ulazimishe kuishi mjini, ebo
 
wazanzibari as a whole wana INFERIORITY COMPLEX

si wanasiasa tuu mpaka raia

mie wananiudhi kijidai wao waarabu na kujiita AL SAID sijui al HABSHI sijui al BARWANI

sasa kama wao wanajiona wa Oman kwa nini wasirudi kwao MASKATI?

sasa naelewa kwa nini karume aliwalazima waolewe na waafrica

Wewe ulitaka wajiite akina mwakasyuka na moshii na wala siyo asili yao?

Mbona nyinyi munajidai uzungu na kujivisha masuti na kujiita john na james kwani hayo ni majina yenu ya asili?

Ama kweli waswahili wamesema NYANI HAONI KUNDULE
 
Back
Top Bottom