Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,295
- 24,123
Kuna kundi la wanasiasa, wafaidika na sera za yule jamaa yetu aliyetangulia mbele za haki, hawaishi maneno maneno kumsakama Mama Samia.
Wanamsakama utafikiri wataenda kumfufua marehemu amalizie ngwe yake ya miaka minne iliyobaki.
ACHENI UNAFIKI!
Maneno maneno.... oooh madeni yanazidi..
mara kakaa kutembea tu.....
mara uteuzi ni wawaislamu tu.....
mara JK yuko nyuma ya serikali ya Samia.....
Walikuwepo kina Sabaya, kina Makonda, kina Cyprian Musiba, kina Polepole, lakini wanafiki walikuwa kimya kama maji ya mtungi, leo uhuru wa kuongea umeongezeka , basi lawama kila kukicha!!
Mimi nawahesabu kama wachovu tu, mara Mpina mara Kibajaji.
NYAMAZENI come on.
Au mgombee uchaguzi wa 2025 na nyinyi, wananchi tuwapige chini!
Wanamsakama utafikiri wataenda kumfufua marehemu amalizie ngwe yake ya miaka minne iliyobaki.
ACHENI UNAFIKI!
Maneno maneno.... oooh madeni yanazidi..
mara kakaa kutembea tu.....
mara uteuzi ni wawaislamu tu.....
mara JK yuko nyuma ya serikali ya Samia.....
Walikuwepo kina Sabaya, kina Makonda, kina Cyprian Musiba, kina Polepole, lakini wanafiki walikuwa kimya kama maji ya mtungi, leo uhuru wa kuongea umeongezeka , basi lawama kila kukicha!!
Mimi nawahesabu kama wachovu tu, mara Mpina mara Kibajaji.
NYAMAZENI come on.
Au mgombee uchaguzi wa 2025 na nyinyi, wananchi tuwapige chini!