Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Mtikila sio jina geni kwa wale walio anza kufuatilia siasa za nchi hii tokea wakati wa awamu ya kwanza.
Ni mwanasiasa aliyekumbana na misukosuko mingi ya kesi na hata kifungo gerezani kwa misimamo yake tena ya kupigania na kuwasemea wasio na sauti ya kujisemea.
Siku za karibuni mwaka 2015 alifariki kwa ajali ya gari yenye utata. Jee wanasiasa machachari na wasio woga kupotea kwao ni faida au hasara? Kwa nani na kwa nini?
Hebu tumsikilize hapa akihutubia huko Zanzibar kuhusu "UNYANI" kama alivyouita mwenyewe.
Ni mwanasiasa aliyekumbana na misukosuko mingi ya kesi na hata kifungo gerezani kwa misimamo yake tena ya kupigania na kuwasemea wasio na sauti ya kujisemea.
Siku za karibuni mwaka 2015 alifariki kwa ajali ya gari yenye utata. Jee wanasiasa machachari na wasio woga kupotea kwao ni faida au hasara? Kwa nani na kwa nini?
Hebu tumsikilize hapa akihutubia huko Zanzibar kuhusu "UNYANI" kama alivyouita mwenyewe.