Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Siasa za majitaka na za uchwara hatimaye zimapitwa rasmi. Hii mi kutokana na muitikio mdogo wa watu kujitokeza kwenye igizo lao la kudai kitu ambacho hata hawakijui.
Hii ni meseji kwao kuwa wananchi wamechagua maisha, pesa na amani kuliko hiyo sijui katiba. Hivyo niwaombe wananchi wote waendelee kuwapuuza hawa wanasiasa uchwara.
Na Kama wataendelea kushupaza shingo basi huu mwaka ni rasmi chama chao linaenda kuzikwa. Hivyo nitoe rai pia kwa wote waliolaghaiwa na hawa wanasiasa uchwara kujikita zaidi kwenye kutafuta pesa na kuinua uchumi wao badala ya kuwa oyaoya kwa vitu vya ajabu ajabu.
#kazi iendelee#
Uchumi kwanza
Hii ni meseji kwao kuwa wananchi wamechagua maisha, pesa na amani kuliko hiyo sijui katiba. Hivyo niwaombe wananchi wote waendelee kuwapuuza hawa wanasiasa uchwara.
Na Kama wataendelea kushupaza shingo basi huu mwaka ni rasmi chama chao linaenda kuzikwa. Hivyo nitoe rai pia kwa wote waliolaghaiwa na hawa wanasiasa uchwara kujikita zaidi kwenye kutafuta pesa na kuinua uchumi wao badala ya kuwa oyaoya kwa vitu vya ajabu ajabu.
#kazi iendelee#
Uchumi kwanza