johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,808
- 141,710
Wabunge na wanasiasa wengine ni kama wamejitenga na timu ya taifa iliyokoKenya kukipiga na Harambee stars
Mbwembwe za akina Pierre na mwenzie Haji Manara hazipo tena, kulikoni?!!!
Mbwembwe za akina Pierre na mwenzie Haji Manara hazipo tena, kulikoni?!!!