Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,315
- 33,930
Hii nchi inatafunwa mchana kweupe lakini kila mtu anajifanya kuijua ile methali ya "kunguru mwoga huishi miaka mingi" hakuna mtu wa kuinua mdomo na kusema!!
Wewe zwazwa, si mlisema alifukuzwa na chama?Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
Inauma sana wakati Chama Tawala kinatengeneza mazingira ya Wabunge na madiwani WAJIUZULU huku wakijua kuwa FEDHA nyingi za masikini Wa Tanzania zingetumika kuwaletea maendeleo, dawa, MIKOPO ya wanachuo
Baada ya hao ni wewe na tambua bila upinzani patatokea maamuzi mamoja tu hapatakuwa na watetezi na wakati huo ukifika utakuwa umesahau UPUUZI wako ulioandika leo na wewe utalalamika kama wanyonge wengineMngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
A hata kama unawaza tofauti piga ikiibiwa watakuwa wanajua ndani ya mioyo yao walichikifanyaaa na kwa kuwa MUNGU yupo na anajua atakalolifanya alilolifanya na analolifanya kwa viumbe wakeee2020 Mungu akinipa uhai, SITAJIHANGAISHA KWENDA KUPIGA KURA.
Time ikiwapa wenye nchi CCM hakuna atakaelalamika kwani matokeo ni hayo. Pia itaepusha wapinzani kukamatwa na kupigwa.Leo hii napenda kumpongeza Mhariri wa gazeti hili na Mwandishi wake, Bi Christina Mwakangale kwa habari ya kiuchambuzi inayojaribu kuonyesha fedha zinazotumika kugharamia uchaguzi wa wabunge katika majimbo ambayo wabunge wake wamejiuzulu ni nyingi kiasi gani na zaidi zingeweza kufanya nini kama zingeelekezwa kwenye maeneo mengine.
Habari hii ndio habari iliyopewa uzito mkubwa kuliko habari zote katika gazeti hili la Nipashe la siku ya leo na iko katika ukurasa wa mbele wa gazeti hili.
Mwaandishi anaandika:
YANAYOWEZA KUFANYIKA NA FEDHA ZA KURUDIA UCHAGUZI MAJIMBO MATATU
1.Kuwapa mikopo wajasiriamali wanawake 300,0000
2.Kugawa mikopo vyuo vikuu kwa wanafunzi 3,750
3.Kuchimba visima vya maji safi 1,000
4.Kuwezesha ujenzi maabara za sekondari 257
5.Kununua madawati milioni moja
6.Kujenga zahabani 187
Gharama hizi ni kwa majimbo ya Singida Kaskazini,Kinondoni na Siha ambapo mwandishi amekadiri kuwa kila jimbo linaweza kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 5.
Mwandishi ametaarifu kuwa jimbo la Dimani visiwani Zanzibari lilitumia shilingi bilioni 1.7 katika uchaguzi mdogo baada ya aliekuwa mbunge wa jimbo hilo, Hafidh Ali Tahir kufariki na ametumia taarifa hii iliyowahi kutolewa na Tume kukadiria gharama za majimbo haya matatu.
NB:
Itakuwa vizuri zaidi kama Tume ya Uchaguzi itatoa gharama halisi ya fedha inayotarajia kutumia kugharamia uchaguzi katika majimbo haya matatu.
Hawajui walitendalo!Nyalandu alifukuzwa mbona mnataka kubishana na spika?ongeeni lugha moja khaaa
Hivi hatuwezi kufanya argument kama watanzania bila kujiita wapinzani na wasio wapinzani?....Hivi shuleni mlienda kufanya nini? Hujaona kwenye uzi majimbo yote matatu yamejumuishwa? Mwandishi amefanya kazi yake vema wewe unaleta ngonjera..