Wanasiasa kujiuzulu: Hongera sana Mhariri na Mwandishi wa gazeti la Nipashe kwa uchambuzi huu unaohusu hasara kwa Taifa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Leo hii napenda kumpongeza Mhariri wa gazeti hili na Mwandishi wake, Bi Christina Mwakangale kwa habari ya kiuchambuzi inayojaribu kuonyesha fedha zinazotumika kugharamia uchaguzi wa wabunge katika majimbo ambayo wabunge wake wamejiuzulu ni nyingi kiasi gani na zaidi zingeweza kufanya nini kama zingeelekezwa kwenye maeneo mengine.

Habari hii ndio habari iliyopewa uzito mkubwa kuliko habari zote katika gazeti hili la Nipashe la siku ya leo na iko katika ukurasa wa mbele wa gazeti hili.

Mwaandishi anaandika:

YANAYOWEZA KUFANYIKA NA FEDHA ZA KURUDIA UCHAGUZI MAJIMBO MATATU

1.Kuwapa mikopo wajasiriamali wanawake 300,0000

2.Kugawa mikopo vyuo vikuu kwa wanafunzi 3,750

3.Kuchimba visima vya maji safi 1,000

4.Kuwezesha ujenzi maabara za sekondari 257

5.Kununua madawati milioni moja

6.Kujenga zahabani 187

Gharama hizi ni kwa majimbo ya Singida Kaskazini,Kinondoni na Siha ambapo mwandishi amekadiri kuwa kila jimbo linaweza kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 5.

Mwandishi ametaarifu kuwa jimbo la Dimani visiwani Zanzibari lilitumia shilingi bilioni 1.7 katika uchaguzi mdogo baada ya aliekuwa mbunge wa jimbo hilo, Hafidh Ali Tahir kufariki na ametumia taarifa hii iliyowahi kutolewa na Tume kukadiria gharama za majimbo haya matatu.

NB:
Itakuwa vizuri zaidi kama Tume ya Uchaguzi itatoa gharama halisi ya fedha inayotarajia kutumia kugharamia uchaguzi katika majimbo haya matatu.
 
Leo hii napenda kumpongeza Mhariri wa gazeti hili na Mwandishi wake, Bi Christina Mwakangale kwa habari ya kiuchambuzi inayojaribu kuonyesha fedha zinazotumika kugharamia uchaguzi wa wabunge katika majimbo ambayo wabunge wake wamejiuzulu ni nyingi kiasi gani na zaidi zingeweza kufanya nini kama zingeelekezwa kwenye maeneo mengine.

Habari hii ndio habari iliyopewa uzito mkubwa kuliko habari zote katika gazeti hili la Nipashe la siku ya leo na iko katika ukurasa wa mbele wa gazeti hili.

Mwaandishi anaandika:

YANAYOWEZA KUFANYIKA NA FEDHA ZA KURUDIA UCHAGUZI MAJIMBO MATATU

1.Kuwapa mikopo wajasiriamali wanawake 300,0000

2.Kugawa mikopo vyuo vikuu kwa wanafunzi 3,750

3.Kuchimba visima vya maji safi 1,000

4.Kuwezesha ujenzi maabara za sekondari 257

5.Kununua madawati milioni moja

6.Kujenga zahabani 187

Gharama hizi ni kwa majimbo ya Singida Kaskazini,Kinondoni na Siha ambapo mwandishi amekadiri kuwa kila jimbo linaweza kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 5.

Mwandishi ametaarifu kuwa jimbo la Dima Zanzibari lilitumia shilingi bilioni 1.7 katika uchaguzi mdogo baada ya aliekuwa mbunge wa jimbo hilo kufariki na ametumia taarifa hii iliyowahi kutolewa na Tume kukadiri gharama za majimbo haya matatu.


Ngoja uone atakachofanyiwa!
 
Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
 
Leo hii napenda kumpongeza Mhariri wa gazeti hili na Mwandishi wake, Bi Christina Mwakangale kwa habari ya kiuchambuzi inayojaribu kuonyesha fedha zinazotumika kugharamia uchaguzi wa wabunge katika majimbo ambayo wabunge wake wamejiuzulu ni nyingi kiasi gani na zaidi zingeweza kufanya nini kama zingeelekezwa kwenye maeneo mengine.

Habari hii ndio habari iliyopewa uzito mkubwa kuliko habari zote katika gazeti hili la Nipashe la siku ya leo na iko katika ukurasa wa mbele wa gazeti hili.

Mwaandishi anaandika:

YANAYOWEZA KUFANYIKA NA FEDHA ZA KURUDIA UCHAGUZI MAJIMBO MATATU

1.Kuwapa mikopo wajasiriamali wanawake 300,0000

2.Kugawa mikopo vyuo vikuu kwa wanafunzi 3,750

3.Kuchimba visima vya maji safi 1,000

4.Kuwezesha ujenzi maabara za sekondari 257

5.Kununua madawati milioni moja

6.Kujenga zahabani 187

Gharama hizi ni kwa majimbo ya Singida Kaskazini,Kinondoni na Siha ambapo mwandishi amekadiri kuwa kila jimbo linaweza kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 5.

Mwandishi ametaarifu kuwa jimbo la Dima Zanzibari lilitumia shilingi bilioni 1.7 katika uchaguzi mdogo baada ya aliekuwa mbunge wa jimbo hilo kufariki na ametumia taarifa hii iliyowahi kutolewa na Tume kukadiri gharama za majimbo haya matatu.

2020 Mungu akinipa uhai, SITAJIHANGAISHA KWENDA KUPIGA KURA.
 
Huu ni ujuha wa hali ya juu! Nyalandu hakununuliwa kaondoka kwa hiari yake tofauti na hawa ambao uchwara anawanunua kwa mabilioni. Tia akili kichwani acha kukurupuka na kuandika pumba.


Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
 
Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
....Hivi shuleni mlienda kufanya nini? Hujaona kwenye uzi majimbo yote matatu yamejumuishwa? Mwandishi amefanya kazi yake vema wewe unaleta ngonjera..
 
Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
Wewe jamaa mpumbavuu kweli sasa unaposhabikia kufanyika huku kwa uchaguzi wewe unanufaika na nini? zaidi kama nakuona vile ulivyo na maisha mabovu huku ukishabikia ujinga NYAMBAAFU.
 
Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
Kama kweli umesoma basi ulikuwa mpiga chabo mkubwa darasani wewe! Hujaelewa nini sasa hapo! Hata huyo nyalandu atalingizia taifa hasara . Shida yenu mnafikiria kuwa kila anayeongea tofauti nanmnavyolishana huko ni mpinzani. Unawadanganya watu ukidhani wewe ni mjuaji sana. Uongo
 
Mngemkataa kwanza nyalandu kwa hoja ya gharama leo hii watz wangewaelewa upinzani.. What goes around comes around... Kuweni wapole kwa sasa dawa iwaingie taratibu
Ni kweli kabisa unajua hoja za wapinzani ni za kibwege kabisa isitoshe hiyo ndio gharama ya democracy
 
Tatizo la chama kuongozwa na kichaa hawajui lolote lile wanaloongea leo wataongea hivi kesho wataongea vile ali mradi tu hawaeleweki.

Walikuwa wanasema wamemfukuza, sasa hivi wanakana taarifa yao wanasema eti alichukuliwa na cdm.
 
Wewe jamaa mpumbavuu kweli sasa unaposhabikia kufanyika huku kwa uchaguzi wewe unanufaika na nini? zaidi kama nakuona vile ulivyo na maisha mabovu huku ukishabikia ujinga NYAMBAAFU.
Mimi naumia sana kwa ajili umbumbu wenu
 
Unaishi chini ya jiwe wewe ZWAZWA? Hukusikia Chakubanga anatamba ana fungu la bilioni 8 la kununua wachumia tumbo? Hukusoma humu yule Katambi anamshawishi mwenzie kuna 50 million za kuhamia chama cha wahuni, wauaji na mafisadi?

Jiongeze ili ujue yanayojiri nchini badala ya kukurupuka na kuonyesha ujuha wako hadharani.

Ni kweli **** huona wenzake ni majuha nani?kakwmbia hao wamenunuliwa?
 
Inauma sana wakati Chama Tawala kinatengeneza mazingira ya Wabunge na madiwani WAJIUZULU huku wakijua kuwa FEDHA nyingi za masikini Wa Tanzania zingetumika kuwaletea maendeleo, dawa, MIKOPO ya wanachuo
 
Back
Top Bottom