mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
- Thread starter
- #21
Bado sijakuelewa mkuuWenzako tunasoma civics mwenzetu unacheki mademu
Ona Sasa unavotuaibisha
Bado sijakuelewa mkuuWenzako tunasoma civics mwenzetu unacheki mademu
Ona Sasa unavotuaibisha
Mimi nakubali naweza kuwa ndezi/pimbi kama ulivyoniona,LAKINI unadhani chadema walikuwa wajinga kumpa cheo Halima? Au KAWE pana mandezi kama mimi mpaka wakubali kuwakilishwa na huyu binti? KUNA wasomi wengi CCM lakini kwa nini ikawa kwa polepole? tena akitokea LHRC,mafanikio ya nafasi yake ndani ya chama hujayaona?Kitendo cha wewe kuwaweka H Mdee na Mbiombio hata wewe nimejikuta nakuona ndezi/pimbi!
Hapana! LISSU katoa ushirikiano wa kenge mvua inanyesha kaingia kwenye maji katuacha nchi kavuHiyo list bila Lissu ni buree
Sijamweka KIKWETE sababu alishakuwa raisiToa polepole weka jk.jk ndio mwamba wa siasa afrika nzima
Umesahau kum-cc yule mtu!Ahsante kwa taarifa...
Na hiki ndicho kinachotusumbua hapa jf,tunapenda mno hadi upofu.Tukiweka pembeni upambe wa vyama, Polepole anajua hadi anakeraa