Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,630
- 4,687
Wanasheria wa kibongo wapo tu na vyeti vyao tu mkuu
Wengi ni njaa na opportunists wanajipendekeza kuja kupata ulaji tu... Lakini nadhani hilo ni tatizo la kitaifa kwa kizazi hiki...
Wanasheria wa kibongo wapo tu na vyeti vyao tu mkuu
Nchi yetu inaenda "automatic" katiba ni maandishi tu.
Kwa kweli hii nchi in ya ajabu sana eti nayo inawao wanasheria.
Wanasheria wenyewe si ndio aina ya Tulia...
wasomi wa bongo ni mizigo wla sio kwny sheria tu
tatzo njaa bro wanasheria njaa tupu unafikiri watafanya maamuzi ya maana kweli hii ndo nchi ya wadanganyika
Nilikuwa nawaza semister hii walimu wa constitutional law watafundisha nn wanafunzi wa first yr? Watatoa mifano gani? Sion haja ya kuendelea kufundisha sheria vyuoni
Duh! kwa uandishi huu na wewe unajisifia ni mwanasheria? Kweli hii fani imevamiwa.ulitaka tujali matumbo ya mama yako? tulisoma kwa shida halafu tufanye kesi zisizo na malipo hizo kwani tulisoma bure? kama ndio hivyo wewe si ungesoma sheria,,utajuta kwanini mlikimbia sheria na kwenda huko hopeless. tupatieni pesa muone kama hatuwasaidii hapa nchni.
Inawezekana hata wao kupata huo uwakili katiba ilivunjwa nani amnyooshe mwingine kidole:lock1:Wanasheria wetu wachovu HAMNA KITU,katiba inavunjwa hakuna kesi mahakamani,katiba imevunjwa kufuta matokeo zanzibar wako kimya,katiba imevunjwa kutangazwa matokeo wako kimya,katiba imevunjwa kumpa cheti jpm wako kimya,katiba imevunjwa kumuapisha wako kimya,katiba imevunjwa kuitisha bunge wako kimya ,katiba imevunjwa kuwaapisha wabunge wako kimya na bado katiba itavunjwa kwa Jpm kuhutubia bila kuwa na Baraza la wawakilishi hakuna watakachofanya.
Nahisi kuna wanachoogopa kutumia weledi wao kutatua hili swala.Nadhani katiba Inakataza kuhoji matokeo mara baada ya rais Kutangazwa lakini sidhani kamapia imekataza kuhoji michakato mingine.Lowasa aliona mbali sana katika swala la elimu ,elimu ,elimu.
Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali
Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali
Kama wewe kanjanja
Kwa Uelewa wangu mdogo ,inawahusu wale waliosomea fani hiyo ingawa najua wako wa aina tofauti tofauti nadhani kama nchi hatukosi magwiji ambao wanahusika na maswala ya katiba katita jumuia yote ya wanasheria hata mmoja jamani RIP Mchungaji mtikila gone too soon1
Kama jaji anakuwa appointed na rais unafikil nn fedha za walipa kodi zikufa et wanasomeshwa wamsaidie nan kama awatambui kazi yao ni ipi katika jamii