Wanasheria wetu hamna kitu

xaracter

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
1,026
606
Wanasheria wetu wachovu HAMNA KITU,katiba inavunjwa hakuna kesi mahakamani,katiba imevunjwa kufuta matokeo zanzibar wako kimya,katiba imevunjwa kutangazwa matokeo wako kimya,katiba imevunjwa kumpa cheti jpm wako kimya,katiba imevunjwa kumuapisha wako kimya,katiba imevunjwa kuitisha bunge wako kimya ,katiba imevunjwa kuwaapisha wabunge wako kimya na bado katiba itavunjwa kwa Jpm kuhutubia bila kuwa na Baraza la wawakilishi hakuna watakachofanya.

Nahisi kuna wanachoogopa kutumia weledi wao kutatua hili swala.Nadhani katiba Inakataza kuhoji matokeo mara baada ya rais Kutangazwa lakini sidhani kamapia imekataza kuhoji michakato mingine.Lowasa aliona mbali sana katika swala la elimu ,elimu ,elimu.
 
Kila mwaka tunasikia, tunaona ktk vyombo vya habati Wanasheria lukuki wakihitimu lakini bure tu, bora kufundisha vikundi vya kina mama kuhusu ujasiriamali hata wa kufuga kuku watazisaidia familia zao kuliko kutumia gharama kubwa kufundisha mijitu mizigo ktk inchi yenye elimu isiyosaidia jamii.
 
Hakuna heshima bila kudundana - kinachoendelea Zanzibar ni ujeuri tu kutoheshimu utawala wa sheria, kwamba hakuna kundi jingine linaweza kupewa madaraka ya nchi as if kundi moja linaloongoza ndilo lililoapizwa na Mwenyezi Mungu.

Hao wanasheria hata wakienda Mahakama Kuu kufungua shauri ni kama wanajifurahisha tu nafsi zao, ila kilichoamuliwa na hao waliokabidhiwa nchi na mwenyezi Mungu (According to them) ndicho kitakachofuatwa na kupitishwa - Full stop.

Mifano ni mingi tu juu ya hili.
 
Tatizo wanajali matumbo Yao....
ulitaka tujali matumbo ya mama yako? tulisoma kwa shida halafu tufanye kesi zisizo na malipo hizo kwani tulisoma bure? kama ndio hivyo wewe si ungesoma sheria,,utajuta kwanini mlikimbia sheria na kwenda huko hopeless. tupatieni pesa muone kama hatuwasaidii hapa nchni.
 
Hakuna heshima bila kudundana - kinachoendelea Zanzibar ni ujeuri tu kutoheshimu utawala wa sheria, kwamba hakuna kundi jingine linaweza kupewa madaraka ya nchi as if kundi moja linaloongoza ndilo lililoapizwa na Mwenyezi Mungu.

Hao wanasheria hata wakienda Mahakama Kuu kufungua shauri ni kama wanajifurahisha tu nafsi zao, ila kilichoamuliwa na hao waliokabidhiwa nchi na mwenyezi Mungu (According to them) ndicho kitakachofuatwa na kupitishwa - Full stop.

Mifano ni mingi tu juu ya hili.

Kusingekuwa na utawala wa sheria Zanzibar kusingekalika
 
Nilikuwa nawaza semister hii walimu wa constitutional law watafundisha nn wanafunzi wa first yr? Watatoa mifano gani? Sion haja ya kuendelea kufundisha sheria vyuoni
 
tatzo njaa bro wanasheria njaa tupu unafikiri watafanya maamuzi ya maana kweli hii ndo nchi ya wadanganyika
 
Back
Top Bottom