Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali
ulitaka tujali matumbo ya mama yako? tulisoma kwa shida halafu tufanye kesi zisizo na malipo hizo kwani tulisoma bure? kama ndio hivyo wewe si ungesoma sheria,,utajuta kwanini mlikimbia sheria na kwenda huko hopeless. tupatieni pesa muone kama hatuwasaidii hapa nchni.
Na ndiyo hayupo tena mkuu, so wanafanya watakalo.Wanasheria wanakimbilia uwakili tu kupiga dili. Ukitaka huduma yao ni ghali utadhani hawaishi huku bongo.Nawadharau sana nyie wanasheria. Mtikila ndie pekee alikuwa anatutea kwa masuala kama haya.
ulitaka tujali matumbo ya mama yako? tulisoma kwa shida halafu tufanye kesi zisizo na malipo hizo kwani tulisoma bure? kama ndio hivyo wewe si ungesoma sheria,,utajuta kwanini mlikimbia sheria na kwenda huko hopeless. tupatieni pesa muone kama hatuwasaidii hapa nchni.
Mkuu ni kada IPI inatoa huduma bure bila malipo.? tuache unafiki.!!Wanasheria wanakimbilia uwakili tu kupiga dili. Ukitaka huduma yao ni ghali utadhani hawaishi huku bongo.Nawadharau sana nyie wanasheria. Mtikila ndie pekee alikuwa anatutea kwa masuala kama haya.
tatzo njaa bro wanasheria njaa tupu unafikiri watafanya maamuzi ya maana kweli hii ndo nchi ya wadanganyika
ulitaka tujali matumbo ya mama yako? tulisoma kwa shida halafu tufanye kesi zisizo na malipo hizo kwani tulisoma bure? kama ndio hivyo wewe si ungesoma sheria,,utajuta kwanini mlikimbia sheria na kwenda huko hopeless. tupatieni pesa muone kama hatuwasaidii hapa nchni.
Wanasheria wetu wachovu HAMNA KITU,katiba inavunjwa hakuna kesi mahakamani,katiba imevunjwa kufuta matokeo zanzibar wako kimya,katiba imevunjwa kutangazwa matokeo wako kimya,katiba imevunjwa kumpa cheti jpm wako kimya,katiba imevunjwa kumuapisha wako kimya,katiba imevunjwa kuitisha bunge wako kimya ,katiba imevunjwa kuwaapisha wabunge wako kimya na bado katiba itavunjwa kwa Jpm kuhutubia bila kuwa na Baraza la wawakilishi hakuna watakachofanya.
Nahisi kuna wanachoogopa kutumia weledi wao kutatua hili swala.Nadhani katiba Inakataza kuhoji matokeo mara baada ya rais Kutangazwa lakini sidhani kamapia imekataza kuhoji michakato mingine.Lowasa aliona mbali sana katika swala la elimu ,elimu ,elimu.
Mkuu ni kada IPI inatoa huduma bure bila malipo.? tuache unafiki.!!
na kwa taarifa yako mtikila hakuwa mwanasheria.
Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali
Pro borno maana yake ni nini? kama mtikila hakua mwanasheria basi amewafunika wanasheria na mawakili wengi sana maana huwezi soma constitutional law bila kuona mchango wake mkubwa....
umekuwa amaizing sio Nifah tena ? vipi yule mtu wako aliyepotezwa na mkwere amesharudi:redface:Elimu, elimu, elimu..............................Lowasa aliona mbali
Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali
Wanasheria gani unaowazungumzia Mkuu? Fafanua tafadhali