Wanasheria wamgomea Tundu Lissu

Wanasheria wamgomea Tundu Lissu

Mkuu, [HASHTAG]#tramadol[/HASHTAG], umewaza vizuri sana.
Anawaombea wenzie njaaaa na wenye kesi. Ila yeye anaogopa kucheleweshewa kesi yake.

Huo ndiyo unafiki wa wanasiasa kama huyo LT.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza tu Kulikuwa na kigezo gani cha kuruka siku ya Jumatatu kwa Mawakili kutoenda mahakamani kwa wito uliotolewa na Rais wa TLS Tundu Lissu badala yake akachagua Jumanne na Jumatano.

Jumatatu kesi imesikilizwa huyo Tundu Lissu

Kuna nini hapo kwa huyo Rais wa TLS kuhusu Haki za wengine?

Kwanini hakupanga Jumatatu na Jumanne?
Jamani hakuna watu wakuzungumzia ni Lisu tuu? Tutanue akili tutafte mengne sio mda wote Lisu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna anayekosa usingizi ila hatendi Haki kwa wengine kama kweli ni msemakweli!
Mmemshtaki ili mthibitishe kosa mumfunge au sio?
Oneni umuhimu wa kusikiliza kesi yake.
Msije kusema "anachelewesha muda kuogopa ugumu wa kesi"
 
Huyo wenzake ashawageuza malo.. ila wamemjua hope wanajuta kumchagua.
 
Mmemshtaki ili mthibitishe kosa mumfunge au sio?
Oneni umuhimu wa kusikiliza kesi yake.
Msije kusema "anachelewesha muda kuogopa ugumu wa kesi"
kwa hiyo za wengine hazina umuhimu kasoro zake ndo maana akapanga mgomo kwenye kesi za wenzake
 
Jamani hakuna watu wakuzungumzia ni Lisu tuu? Tutanue akili tutafte mengne sio mda wote Lisu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maandalizi ya kisaikolijia.
Tumepigwa mbaya mazungumzo ya makinikia, wanataka sababu iwe Lissu.

Anyway watutajie jina la aliyevunja mkataba wa mkandarasi kimbayuwayu chetu kimedakuliwa kanada.
 
kwa hiyo za wengine hazina umuhimu kasoro zake ndo maana akapanga mgomo kwenye kesi za wenzake
Umuhimu kwenu, maana uchochezi alioufanya unaweza kusababisha vurugu kubwa usipodhibitiwa au mlimaanisha tofauti?
Kama ndivyo basi sikilizeni kispesho.
 
Ni swali ambalo nimejiuliza tu Kulikuwa na kigezo gani cha kuruka siku ya Jumatatu kwa Mawakili kutoenda mahakamani kwa wito uliotolewa na Rais wa TLS Tundu Lissu badala yake akachagua Jumanne na Jumatano.

Jumatatu kesi imesikilizwa huyo Tundu Lissu

Kuna nini hapo kwa huyo Rais wa TLS kuhusu Haki za wengine?

Kwanini hakupanga Jumatatu na Jumanne?
Sio mawazo ya Lisu ni mapendekezo ya TLS na hata kama TLS wangesema waanze jtatu mngesema kuwa Lisu kachagua siku ya kesi yake ili asiende mahakamani. Akili za maccm changanya na za bashite
 
Huyo ni msanii wa kisiasa.

Inashangaza kuna watu na makaratasi yao ya fani mbali mbali bado wanaamini na kukitenda kila anachokisema.

Mtu aliyetuuzia hoja zinazosema Lowassa ni fisadi papa na hafai hata kupewa fomu za kugombea Urais halafu baada ya kupata mgao wake akarudi tena kutuuzia Lowassa yule yule akidai anafaa kupewa Ikulu na hazina ya taifa.

Tanzania kuna vituko!
 
Lt, ni mnafiki kama mbadilisha gia angani mwenzake tu.

Mfano, mgomo huo hajui kuwa utawaathiri wenye kesi za madai.

Mfano, kesi ya madai kama hukumu unatakiwa kulipwa leo, au nyumba itauzwa leo 29/08/2017 sasa wasipoenda hao mawakili yeye haoni watu wenye kesi za madai watapoteza haki zao!?

LT aache unafiki kwa kuwafanya watanzania wenzentu wajinga.

Kwa nini mgomo auweke J4 na J5 aivuke Jumatatu!?

Ningeelewa, akili yake kidogo kama jambo hilo lingetokea Jumatatu usiku kuamkia siku ya J4 hapo mgomo wake ungekuwa kidogo na mantiki.

Ila yeye, kajiondoa J3, karukia watu wa siku zinazofuatia.

Kweli akili za kuambiwa tuchanganye na zetu (in Dr.JK's voice)
 
Tundu Lissu anawafanya mawakili wenzake kama mazuzu siku ya kesi yake hakugoma kwani anajua angegoma nini kingefuata halafu anataka wenzake wagome.Ngoja wagome waone nini kitatokea
Hii nchi kwa sasa kila mtu ametengeneza jumuiya ya mazuzu wake, hawafikirii kabisa ni mihemko mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom