Wanasheria wamgomea Tundu Lissu

Wanasheria wamgomea Tundu Lissu

Ulimwengu wa WAZALENDO, kwa muda sasa umekuwa unasumbuliwa na KUNDI la Askari wapelelezi wenye MALENGO ya kuharibu na kuhujumu nchi kwa MASILAHI ya Mabwana waliyo watuma.

Nina mashaka makubwa na Muheshimiwa Lissu kama si miongoni mwa SLEEPER AGENT...!!

Najiuliza na kuhoji kila leo UZALENDO wake, nakosa majibu...!!

Tusubiri kidogo, huenda muda ukaongea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimwengu wa WAZALENDO, kwa muda sasa umekuwa unasumbuliwa na KUNDI la Askari wapelelezi wenye MALENGO ya kuharibu na kuhujumu nchi kwa MASILAHI ya Mabwana waliyo watuma.

Nina mashaka makubwa na Muheshimiwa Lissu kama si miongoni mwa SLEEPER AGENT...!!

Najiuliza na kuhoji kila leo UZALENDO wake, nakosa majibu...!!

Tusubiri kidogo, huenda muda ukaongea...

Sent using Jamii Forums mobile app
nipe maana ya uzalendo kwanza ndio tuendelee na mjadala
 
Wewe na timu yenu ya CCM ndiyo hamna nia njema na nchi hii!! Isipokuwa mnaangalia kutawala tu , hamumuwazi mwananchi masikini mmeuza raslimali za nchi kwa miaka 100 kwa mrabaha wa 3% hata aibu hamna. Leo mnang'ang'ania makinikia huku dhahabu pure ikirushwa na ndege kila siku. Shame on U ccm's

Cairo's
 
Nimejaribu sana kuangalia harakati za Tundu Lissu toka alipoingia Ubunge kila tamko analolitoa lazima lilete mtafaruku na migongano ya kimtazamo ndani ya Serikali na kwa jamii ya watanzania!

Ni kweli kabisa nia yake ni nzima Katika kuhakikisha nchi inakuwa na amani?

Au anajenga vijana na wanainchi kwa ujumla kuwa watu wa visasi na kutotafuta AMANI ya nchi.

Kama ni suala la Haki ni Haki gani hasa ambayo kila siku yeye ndiyo anaitafuta kwa wanainchi?

Hakuna Wanasheria au Mawakili au Wabunge wengine wasio na uchungu na Tanzania isipokuwa Tundu Lissu tu?
Sijui kwanini unataka kutupotezea mb zetu. Wanachama wa TLS wamemuonyrsha kuwa ni spent force isiyoweza kuendana Na Tz Mpya. Kitendo cha kufanya mgomo na ameteurs only kimemmaliza kisiasa, professionally etc.
Anatakiwa kushauriwa kujiudhuru.
 
Ruhusuni MIKUSANYIKO YA KIDEMOKRASIA na UHURU WA HABARI..! Acheni mbwembwe na kutupigia ramli hapa.
 
Nimejaribu sana kuangalia harakati za Tundu Lissu toka alipoingia Ubunge kila tamko analolitoa lazima lilete mtafaruku na migongano ya kimtazamo ndani ya Serikali na kwa jamii ya watanzania!

Ni kweli kabisa nia yake ni nzima Katika kuhakikisha nchi inakuwa na amani?

Au anajenga vijana na wanainchi kwa ujumla kuwa watu wa visasi na kutotafuta AMANI ya nchi.

Kama ni suala la Haki ni Haki gani hasa ambayo kila siku yeye ndiyo anaitafuta kwa wanainchi?

Hakuna Wanasheria au Mawakili au Wabunge wengine wasio na uchungu na Tanzania isipokuwa Tundu Lissu tu?

Mkuu;
Nilitaka nikatekate uzi wako ila nikaona wote unafaa kupingwa kama ifuatavyo:
Kwa kuwa una mtazamo hasi juu ya huyu mtu, kila atakachosema kwako ni usaha tu. Je, unaweza kutoa kamfano tu ka kutuonesha jinsi ambavyo anatamani amani unayoiona weye ikitoweka?? Alifanya nini?
Utueleze kidogo jinsi ambavyo amekuwa akiwajenga vijana wa nchi hii kuwa walipiza visasi kwa sababu kusema tu hewani hewani kunaacha maswali mengi kuliko majibu. Tupe na kamfano kuwa Akiwa mahali fulani aliwaambia vijana wafanye hivi na hivi ila wakamkatalia. Halafu utueleze zana alizotumia kuwaongoza vijana kuelekea kuvunja amani yetu pendwa.
Suala la haki anayoitafuta, je, keshaipata hata unaona anaendelea tuu kuidai?? Nadhani waswahili husema; Muomba Mungu hachoki na akichoka, keshapata. Nadhani yeye hajaipata ndo maana bado anaidai. Labda umuongoze pa kuipata.
Kuhusu wanasheria au wabunge wenye uchungu na Tanzania zaidi ya Lissu, wapo ila wanaona, tukifungwa woote ni nani ataendeleza kupingania hii haki??
Nimejaribu tu kukufungua macho
 
Back
Top Bottom