Kwa nini UKAWA wasiende mahakamani kudai haki yao ya kuhakikisha ibara ya 41 kipengele cha 6 kimetimizwa?
Kipengele hicho kinasema kuwa Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
Kama UKAWA wana ushahidi kwamba Lowassa ndie aliyepata kura nyingi kuliko mgombea mwingine yeyote, kwa nini wasiende mahakamani kutaka kipengele hicho hapo juu kitimizwe?
Kipengele cha 7 kinasema iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hiyo ya 41 basi hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguzwa kuchaguliwa kwake.
Kwa mtazamo wangu, kipengele cha 6 kwanza inabidi kitimizwe ili kipengele cha 7 kiweze kuwa na nguvu za kisheria.
Wanasheria mnasemaje?
Kipengele hicho kinasema kuwa Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote.
Kama UKAWA wana ushahidi kwamba Lowassa ndie aliyepata kura nyingi kuliko mgombea mwingine yeyote, kwa nini wasiende mahakamani kutaka kipengele hicho hapo juu kitimizwe?
Kipengele cha 7 kinasema iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hiyo ya 41 basi hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguzwa kuchaguliwa kwake.
Kwa mtazamo wangu, kipengele cha 6 kwanza inabidi kitimizwe ili kipengele cha 7 kiweze kuwa na nguvu za kisheria.
Wanasheria mnasemaje?