Elewa shughuli za bunge la 12 zimesitishwa, ila bunge litavunjwa agosti 3. Kuwa hakutakuwa na shughuli nyingine za bunge. Kuvunjwa bunge tarehe 3 agosti ni kutoa fursa ya kuendelea kuwepo kwa mawaziri kwani bunge lingevunjwa maana yake kuwa baraza la mawaziri nalo lingekoma.Hivi huu ndiyo utaratibu ama imekaaje? Tunaomba mtusaidie.
Una uhakika mkuu? Usitupange!Reforms zinaenda kufanyika kabla ya uchaguzi mkuu
Sawa mkuu. Tunaomba kujua huu ndiyo utaratibu unaotumika kila mwaka wa uchaguzi ?Elewa shughuli za bunge la 12 zimesitishwa, ila bunge litavunjwa agosti 3. Kuwa hakutakuwa na shughuli nyingine za bunge. Kuvunjwa bunge tarehe 3 agosti ni kutoa fursa ya kuendelea kuwepo kwa mawaziri kwani bunge lingevunjwa maana yake kuwa baraza la mawaziri nalo lingekoma.
no reform imefia tick-tock na Facebook kitambo. Haina impact yeyote. It was Just mihemuko ya muda tu..hata walioipokea hawakujua maana,umuhimu na faida ya hiyo dhanaWanapima upepo wa reforms
Asante kwa maono mazuriMwaka 2020 bunge lilivunjwa mwezi wa 06 na shughuli zote zilikoma.
Ila nadhani kusogeza hadi August lengo ni kutoa nafasi ya kupima upepo wa no reform no election .
Ikiwa pressure itakuwa kubwa watafanya reform Ila ikiwa pressure itakuwa ndogo hawatafanya .
This is simple calculations.
Nachokiona ni uoga umewaingia tayari hasa zile banning za kutokutoka nje n.k
Kwani wewe upo serikalini? Unatoa comment ukiwa Nanjilinji huko halafu unapinga hoja za wafanyao kazi ikulu?Banning zipi unazungumzia hapo hakuna Cha kusoma upepo Wala nin,reforms hazipo hizo sahauni