hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 558
Azimio Batili na ufafanuzi batili, usipotekelezwa, hakuna kosa lolote kikatiba kwa sababu katiba imefuatwa. Lingetekelezwa ndipo kungetokea matatizo ikiwemo kuvunjwa kwa Bunge.
P
Bunge kutoa azimio kama hilo kwa mtu kama CAG unaitaje ni azimio batili? hakuna kosa KIVIPI kwa mhimili mkubwa kama huo kutoa azimio kubwa kwa mhimili mwingine na kisha kushindwa kusimamia azimio hilo?