Wanasheria mtusaidie, Spika anaposhindwa kusimamia Azimio lililopitishwa na Bunge, nini kitatokea?

Azimio Batili na ufafanuzi batili, usipotekelezwa, hakuna kosa lolote kikatiba kwa sababu katiba imefuatwa. Lingetekelezwa ndipo kungetokea matatizo ikiwemo kuvunjwa kwa Bunge.
P
Ktk hali ya kawaida bila kujali sheria au katiba.
Aliyoyafanya spika ndugai mbele ya uma wa watanzania, anastahili kuongoza muhimili huu muhimu kwa nchi yoyote duniani?
Kamati ya mwakwembe haikuona ufisadi wa lowasa kuhusu kashfa ya Richmond.
Lakini kwa kuwa waziri mkuu ni Mtendaji mkuu wa serikali AJITATHIMINI JE ANASTAHILI KUENDELEA NA WADHIFA HUU.

WITO KWA NDUGAI,
AJITATHIMINI, KWA MAZIMIO NA UFAFANUZI,BATIRI NA KUTOKUSIMAMIA KAULI ZAKE JE ANAFAA KUENDELEA KUWA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ktk hali ya kawaida bila kujali sheria au katiba.
Aliyoyafanya spika ndugai mbele ya uma wa watanzania, anastahili kuongoza muhimili huu muhimu kwa nchi yoyote duniani?
Kamati ya mwakwembe haikuona ufisadi wa lowasa kuhusu kashfa ya Richmond.
Lakini kwa kuwa waziri mkuu ni Mtendaji mkuu wa serikali AJITATHIMINI JE ANASTAHILI KUENDELEA NA WADHIFA HUU.

WITO KWA NDUGAI,
AJITATHIMINI, KWA MAZIMIO NA UFAFANUZI,BATIRI NA KUTOKUSIMAMIA KAULI ZAKE JE ANAFAA KUENDELEA KUWA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga Mkono Hoja...
P
 
Kuna kitu katika sheria kinaitwa VOID AB INITIO, Maana yake sheria inachukulia jambo lolote lililotekelezwa kwa ubatili na uharamu kuwa halina nguvu kisheria, halipo na halikuwahi kuwapo, ni la kupuuzwa.

Azimio la Bunge juu ya CAG lilikuwa VOID AB INITIO.
Halitambuliki. Walikuwa wanacheza iyena iyena tu in a silly session.

Sana sana wanachoweza kufanya ni kumdharau huyo aliwalisha matango pori kama kiongozi wa hovyo.
We jamaa hufai
"Wa hovyo" in Msimamizi wa magari's voice.

Na wewe una maneno ya "Hovyo"
 
Tumshukuru Mhe. JK kwa kumteua Professa Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Serikali. Jamaa yuko vizuri na hayumbishwi.
 
Ndugayi ni dhaifu hilo halina ubishi ila kwa sasa kuna kitu kinamsumbua mpaka kichwani madhara yake ni kuropoka ropoka na kukosa ethics za kiuongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukumu yao ipo mikononi mwa mwenyezi mungu maana wao wanajiona ni miungu watu
Wale wameonewa na tulishasema hiyo kamati ya maadili ipo kwa ajili ya kufanya hujuma na kutisha watu,wala haipo kutenda haki.

In God we trust
 
Azimio Batili na ufafanuzi batili, usipotekelezwa, hakuna kosa lolote kikatiba kwa sababu katiba imefuatwa. Lingetekelezwa ndipo kungetokea matatizo ikiwemo kuvunjwa kwa Bunge.
P
Nilikuwa nataka kukuita brother mayala bora umewahi tupa jibu

Kwaiyo ina maana spika wetu ni wa hivyo hivyo na dhaifu hatufai
 
Mh. Spika alisema hawatafanya kazi na Prof. Assad ila si ofisi ya CAG. Akaongeza kuwa kama ripoti itakuwa na saini ya Assad hawataipokea (lakini leo imepokelewa ikiwa na saini hiyo). Wanasheria mlio humu naomba ufafanuzi juu ya hili-Kukiuka azimio lililopitishwa.

Kwa hili lililotokea leo linatukumbusha kutafakari hoja zifuatazo:
-Ni nini wajibu wa mwanasheria mkuu wa serikali katika kutafsiri katiba na sheria pale zinapoleta mkanganyiko?
-Ni nini wajibu wa kila mbunge? Je, akubali kufuata yote yanayosemwa na kiti cha spika?
-Je, wale walioadhibiwa kwa kumuunga mkono Assadi, adhabu zao zitatenguliwa?

TUJIANDAE KUPATA TUKIO JIPYA LA KUPOZA MOTO HUU UNAOFUKUTA!
Kamati dhaifu iliweka Azimio dhaifu. Labda sasa akili zao zitakaa sawa, kwamba azimio lao linasadifu walivyo na uwezo Mdogo wa kuchakata mambo mazito yenye kuleta Impact kwa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Professor Assad alisisitiza na kukazia kwenye mkutano wake na waandishi habari kwamba.....
Neno DHAIFU ni neno la kimkakati, na pia yeye pamoja na ofisi yake hawato acha kulitumia neno hilo DHAIFU
Uzuri ni kuwa neno DHAIFU sio mahsusi kwa taasisi fulani tu, Bali linaihusu taasisi au mamlaka yoyote inayofanya kazi kwa kiwango kisichoridhisha.
 
Ndugaye angekuwa na busara angebwaga manyanga

In God we trust

Kashayabwaga. Hatakaa asahau. Natamani nimalizie na tusi kali, sema namstahi tu . Uko juu Professor Assad. Our prayers are with you.
 
Back
Top Bottom