jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,737
- 2,806
Naoana huko aliko kipimo cha sukari kitapanda hadi 17
In God we trust
Hapo awe na sukari tu sasa. Na mengine yale.?!
Naoana huko aliko kipimo cha sukari kitapanda hadi 17
In God we trust
Ktk hali ya kawaida bila kujali sheria au katiba.
Aliyoyafanya spika ndugai mbele ya uma wa watanzania, anastahili kuongoza muhimili huu muhimu kwa nchi yoyote duniani?
Kamati ya mwakwembe haikuona ufisadi wa lowasa kuhusu kashfa ya Richmond.
Lakini kwa kuwa waziri mkuu ni Mtendaji mkuu wa serikali AJITATHIMINI JE ANASTAHILI KUENDELEA NA WADHIFA HUU.
WITO KWA NDUGAI,
AJITATHIMINI, KWA MAZIMIO NA UFAFANUZI,BATIRI NA KUTOKUSIMAMIA KAULI ZAKE JE ANAFAA KUENDELEA KUWA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Azimio Batili na ufafanuzi batili, usipotekelezwa, hakuna kosa lolote kikatiba kwa sababu katiba imefuatwa. Lingetekelezwa ndipo kungetokea matatizo ikiwemo kuvunjwa kwa Bunge.
P
Bunge dhaifu linapotisha azimio batili na ufafanuzi batili, ni kutokana na kukosa sense, hivyo linapopuuza utekelezaji wa azimio batili na kupuuza aliyetoa kauli ya ufafanuzi, na badala yake kuamua kufanya the right thing, this is good, hii maana yake Bunge sasa limeanza kurejea kwenye the right sense.Mkuu uoni sasa kuwa ni DHAHIRI SHAHIRI BUNGE ni DHAIFU, maana limeshindwa kusimamaia maamuzi yake yaliofanyika kwa mbwembwe.
Mkuu pamoja na ufafanuzi mzuri wa Ndugu Paskali wewe bado unakomaa na Spika siyo...ha ha haTatizo lipo kwa spika kutudanganya kuwa hawezi kufanya kazi na profesa
In God we trust
Mkuu kinachojamba ni tumbo,tusilaumu ma....Tatizo la bunge letu ni Ndugai kwa kuongoza bunge kwa mihemuko
In God we trust
Hapa mi naona shida ni mfumo uliopo. Inawezekana mbunge hakubaliani na hoja lakini hawezi kusema hadharani kwa kuhofia kuwajibishwa na chama na hata kupoteza ubunge wake. Kama mfumo ungeruhusu wagombea binafsi wa nafasi za ubunge na urais, si ajabu maamuzi mengi tunayoyaona leo yangekuwa tofauti sana. Watu wangekuwa huru zaidi kutumia uhuru wao wa kuamua mambo kuliko kuhofia nafasi zaowabunge wa CCM hawatumii akili wala busara na cha ajabu wengi wana degree zao au ndio elimu yetu ya kukariri? Ma Pro na Ma Dr wakiwa vyuoni wanaiponda sana serikali lakini wakipewa vyeo wanakua wajinga kabisa utadhani sio wao
Yaani Mgogo kama Luke Shaw, alipopewa pasi na Suarez paaap, kakwamisha wavuni kwakeWamejidhalilisha sana
In God we trust
Matumbo hutoa fahamu za watu, utu na uungwana hupoteawabunge wa CCM hawatumii akili wala busara na cha ajabu wengi wana degree zao au ndio elimu yetu ya kukariri? Ma Pro na Ma Dr wakiwa vyuoni wanaiponda sana serikali lakini wakipewa vyeo wanakua wajinga kabisa utadhani sio wao
kupitisha azimio batili kwa kutumia mishahara, posho na gharama mbalimbali ambazo zinalipwa kwa kodi za watanzania, halafu kutolitekeleza, ni UBADHIRIFU WA HALI YA JUU SANA. NI UFISADI HASA.Azimio Batili na ufafanuzi batili, usipotekelezwa, hakuna kosa lolote kikatiba kwa sababu katiba imefuatwa. Lingetekelezwa ndipo kungetokea matatizo ikiwemo kuvunjwa kwa Bunge.
P
Dahhhh!!!! Hii Kali. Lakini kujamba ni process nzuri ya kuweka mwili katika tulivu.