Thank you.Aliyeuawa si ndugu yako, si rafiki yako, si jirani yako na wale si wa dini yako. Ni mtu wa kule. Ipo siku itakuwa kinyume, na kule itakuwa hapa. Watu hawatatoa ushrikiano kwa sababu hukufanya hivyo ulipoona kule.
Kama hizo tuhuma za rushwa za dola milioni 5 kweli zimetolewa mbele ya "Kamati ya Madini ya Bunge la Canada", basi kilichotakiwa kufuata baada ya hapo ni kwamba hao "Wanasheria na watetezi wa haki za Binadamu kutoka Canada" wangechukua hatua ya kuishtaki Barrick kwenye mahakama ya Canada na siyo Mahakama ya Kimataifa. Hiyo ni dalili tosha kuwa kuna walakini mkubwa kuhusiana na habari hii.
Kwa nini raia wa Canada wapeleke mashtaka kwenye mahakama ya kimataifa wakati serikali yetu imenyamaza huko wakitetea the so called wawekezaji??? Aibu ya yote ni documents zinazoonyesha walivyomuonga, siyo tu Mwenyekiti wa kamati ya Bunge lakini pia Rais wa nchi... Ni aibu, wengi sana ndani ya CCM watachotwa pamoja na Wabunge wawili kutoka Upinzani
Ikiwa serikali yetu ni makini, inabidi waingilie kati, vinginevyo serikali nzima ya CCM italazimika kujiuzulu kutokana na kashfa ya Barrick. Hali siyo nzuri kabisa. Barrick inaenda kuiangusha serikali ya CCM