AKILI ZAKO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 2,924
- 4,474
Walimdanganya putin hypersonic hazitunguliki wala hazionekani kwenye rada
Jisomeeni wenyewe nimecheka sana 🤣
Kile kindunje kazi ipo
Jisomeeni wenyewe nimecheka sana 🤣
Kile kindunje kazi ipo
So wanasayansi ni kama walitengeneza hypersonic la mchuzi juu
Mzee wa watu anateseka sana wahuni wamemuundia kanya boya 🤣😂😂🙆🙆🙆
Hypersonic haiwezi kudunguliwa kizembe wacha propaganda wewe!!Walimdanganya putin hypersonic hazitunguliki wala hazionekani kwenye rada
Jisomeeni wenyewe nimecheka sana
Kile kindunje kazi ipo
Itakuwa ile ya bibi nyau lakini Kwanini wafungwe hao wanasayansi?Hypersonic haiwezi kudunguliwa kizembe wacha propaganda wewe!!
Mi nilivyoona verified user nikajua ni trustable sourceHypersonic haiwezi kudunguliwa kizembe wacha propaganda wewe!!
Mvaa kubazi wa kwanza-1Hypersonic haiwezi kudunguliwa kizembe wacha propaganda wewe!!
Ukisikia tawala za kidhalimu ndio kama hizo sasa! Mfumo wa urais uliojigeuza ufalme; mbaya kuzidi absolute monarchy.Hiyo habari nilisoma mchana hao wanasayansi hawajafungwa kisa walichotengeneza, tena nilidhani labda wametoa siri. Kumbe wamefungwa sababu wakishiriki makongamano ya kimataifa ya hypersonic missile technology, vile vitu vya kufanya presentation na maprofesa wenzako wa Japan au Korea. Pia wamechapisha maandiko kama ambavyo wanasayansi wa afya na siasa wanachapisha. Mwishowe wamejikuta wanakamatwa tena kimyakimya na kesi zao zinafichwa mbele ya public.
Taasisi yao inalalamika mazingira waliyokamatwa hayaridhishi, kipimo cha kusema wametoa siri hakiwezi tolewa na watu wa usalama ambao yawezekana hawajui hypersonic ni nini, kipi ni siri ya kitaifa na kipi kinajulikana.
Hayo matatizo kwa wanasayansi wa Urusi ni kawaida enzi na enzi, mfano Pavel Dulov alivyotengeneza Vkontakte, Facebook ya Urusi serikali ililazimisha inunue shares kubwa iathiri maamuzi ya platform kama access ya database. Dulov akajiondoa akaanzisha Telegram nako wakamzingua akakimbia nchi.
Ndio nchi ambayo waswahili wanaipigia chapuo eti ni mkomboz waoHiyo habari nilisoma mchana hao wanasayansi hawajafungwa kisa walichotengeneza, tena nilidhani labda wametoa siri. Kumbe wamefungwa sababu wakishiriki makongamano ya kimataifa ya hypersonic missile technology, vile vitu vya kufanya presentation na maprofesa wenzako wa Japan au Korea. Pia wamechapisha maandiko kama ambavyo wanasayansi wa afya na siasa wanachapisha. Mwishowe wamejikuta wanakamatwa tena kimyakimya na kesi zao zinafichwa mbele ya public.
Taasisi yao inalalamika mazingira waliyokamatwa hayaridhishi, kipimo cha kusema wametoa siri hakiwezi tolewa na watu wa usalama ambao yawezekana hawajui hypersonic ni nini, kipi ni siri ya kitaifa na kipi kinajulikana.
Hayo matatizo kwa wanasayansi wa Urusi ni kawaida enzi na enzi, mfano Pavel Dulov alivyotengeneza Vkontakte, Facebook ya Urusi serikali ililazimisha inunue shares kubwa iathiri maamuzi ya platform kama access ya database. Dulov akajiondoa akaanzisha Telegram nako wakamzingua akakimbia nchi.
HahahaaaaInakariabiana na mambo ya kinjekitile .... risasi zitageuka majiii