Hypersonic za Urusi ni dhaifu mno, ametumia hypersonic zaidi ya 10

Annunaki

JF-Expert Member
Dec 30, 2021
1,911
3,172
Pamoja na sifa kedekede ambazo zimekuwa zikimwaga hapa jamvini juu ya hypersonic za Urusi.

Hypersonic hizo zimekuwa dhaifu mno mpaka sasa Urusi katumia zaidi ya kumi lakini ufanisi wake ni wa chini sana, hivyo kushindwa kuimaliza vita.

Kwa hali hii hamna namna ndiyo maana Putin analialia kwa sasa, ni wazi kwamba nguvu zake za kijeshi zimeanza kunyongonyezwa.

__

Marekani: Urusi yarusha makombora ya kasi 'hypersonic ' zaidi ya 10 tangu vita kuanza

Pentagon inaamini kwamba Urusi imetumia silaha zake za hypersonic takriban 10 hadi 12 tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa afisa mkuu wa ulinzi.

Akizungumza na waandishi wa habari siku ya Jumanne, afisa huyo alisema Marekani haina "hesabu kamili" ya kutumwa kwa silaha hiyo.

Urusi inadai kuwa kombora la Kinzhal ambalo linaweza kulenga shabaha hadi kilomita 2,000 (maili 1,240) na linaweza kuruka kwa kasi ya zaidi ya kilomita 6,000 kwa saa, lilirushwa kwa mara ya kwanza kwenye shabaha nchini Ukraine mwezi Machi.

Hivi karibuni, maafisa wa Ukraine walidai kuwa silaha hiyo ilitumiwa huko Odesa mwishoni mwa juma.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.

 
Waulize Kiev, Odesa na Mariupol watakuhadithia


Ukraine has lost. It can't defeat Russia. They can't contain or break up or weaken Russia without destroying the world economy. The $33 billion is a cash cow for defense contractors to continue a forever war. Phony concern for "disinformation" is to shut you up about all this.




Ndio tushajimegea hivyo, kazi kuunguza hela za walipa kodi wa marekani tu bila ya faida
20220511_144028.jpg
 
Waulize Kiev, Odesa na Mariupol watakuhadithia


Ukraine has lost. It can't defeat Russia. They can't contain or break up or weaken Russia without destroying the world economy. The $33 billion is a cash cow for defense contractors to continue a forever war. Phony concern for "disinformation" is to shut you up about all this.




Ndio tushajimegea hivyo, kazi kuunguza hela za walipa kodi wa marekani tu bila ya faidaView attachment 2220625
Hayo yote yanakombolewa soon, endelea kutega sikio, isitoshe wakati mnayachukua mlikuwa mmetumia ambush Ukraine aikujiandaa kwa vita ila kwa sasa tayari wanna morale yakupigania nchi yao na misaada ya kijeshi na kifedha wanayopata inawafanya wajipange upya kuja kukomboa hayo maeneo mliokwisha kuchukua.
 
Hayo yote yanakombolewa soon, endelea kutega sikio, isitoshe wakati mnayachukua mlikuwa mmetumia ambush Ukraine aikujiandaa kwa vita ila kwa sasa tayari wanna morale yakupigania nchi yao na misaada ya kijeshi na kifedha wanayopata inawafanya wajipange upya kuja kukomboa hayo maeneo mliokwisha kuchukua.
Tunashukuru kwa taarifa msemaji wa PENTAGON
 
Pamoja na sifa kedekede ambazo zimekuwa zikimwaga hapa jamvini juu ya hypersonic za Urusi. Hypersonic hizo zimekuwa dhaifu mno mpaka sasa Urusi katumia zaidi ya kumi lakini ufanisi wake ni wa chini sana, hivyo kushindwa kuimaliza vita.

Kwa hali hii hamna namna ndiyo maana Putin analialia kwa sasa, ni wazi kwamba nguvu zake za kijeshi zimeanza kunyongonyezwa.

___________________________________________

Marekani: Urusi yarusha makombora ya kasi 'hypersonic ' zaidi ya 10 tangu vita kuanza

Pentagon inaamini kwamba Urusi imetumia silaha zake za hypersonic takriban 10 hadi 12 tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa afisa mkuu wa ulinzi.

Akizungumza na waandishi wa habari siku ya Jumanne, afisa huyo alisema Marekani haina "hesabu kamili" ya kutumwa kwa silaha hiyo.

Urusi inadai kuwa kombora la Kinzhal ambalo linaweza kulenga shabaha hadi kilomita 2,000 (maili 1,240) na linaweza kuruka kwa kasi ya zaidi ya kilomita 6,000 kwa saa, lilirushwa kwa mara ya kwanza kwenye shabaha nchini Ukraine mwezi Machi.

Hivi karibuni, maafisa wa Ukraine walidai kuwa silaha hiyo ilitumiwa huko Odesa mwishoni mwa juma.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.


Daaah!!! Russia inatesa sana mioyo ya Pro NATO . Pole sana Bro. Mnahangaika sana Psychologically
 
UKRAINE anashinda hii vita yake maana nasikia kakomboa marioo pol kakomboa odessa kakomboa Don bas yoote kakomboa kharkiv kakomboa Azov ile namida hii kapita na CRIMEA anaelea MOSCOW
VIVA UKRAINE
Suala la muda tu kama yeye aliweza kuyatela basi ujue kwamba yanaweza rudishwa Ukraine pia muda wowote
 
Hayo yote yanakombolewa soon, endelea kutega sikio, isitoshe wakati mnayachukua mlikuwa mmetumia ambush Ukraine aikujiandaa kwa vita ila kwa sasa tayari wanna morale yakupigania nchi yao na misaada ya kijeshi na kifedha wanayopata inawafanya wajipange upya kuja kukomboa hayo maeneo mliokwisha kuchukua.
Acha kuwa mwanasiasa unafikiria jambo jepesi hilo.. Hakujiandaa wakati jamaa alipewa taarifa mapema kuhusu maandalisi ya Russia
 
Pamoja na sifa kedekede ambazo zimekuwa zikimwaga hapa jamvini juu ya hypersonic za Urusi. Hypersonic hizo zimekuwa dhaifu mno mpaka sasa Urusi katumia zaidi ya kumi lakini ufanisi wake ni wa chini sana, hivyo kushindwa kuimaliza vita.

Kwa hali hii hamna namna ndiyo maana Putin analialia kwa sasa, ni wazi kwamba nguvu zake za kijeshi zimeanza kunyongonyezwa.

___________________________________________

Marekani: Urusi yarusha makombora ya kasi 'hypersonic ' zaidi ya 10 tangu vita kuanza

Pentagon inaamini kwamba Urusi imetumia silaha zake za hypersonic takriban 10 hadi 12 tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa afisa mkuu wa ulinzi.

Akizungumza na waandishi wa habari siku ya Jumanne, afisa huyo alisema Marekani haina "hesabu kamili" ya kutumwa kwa silaha hiyo.

Urusi inadai kuwa kombora la Kinzhal ambalo linaweza kulenga shabaha hadi kilomita 2,000 (maili 1,240) na linaweza kuruka kwa kasi ya zaidi ya kilomita 6,000 kwa saa, lilirushwa kwa mara ya kwanza kwenye shabaha nchini Ukraine mwezi Machi.

Hivi karibuni, maafisa wa Ukraine walidai kuwa silaha hiyo ilitumiwa huko Odesa mwishoni mwa juma.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.


Hapa ndio nakutoa kabisa akili.
Haya we umethibitishaje kama zimetumika?
Kwa taarifa ndogo tu Russia anatumia silaha za zamani akitunza hazina za just in case NATO akiamua kuingia mzimamzima
 
Pamoja na sifa kedekede ambazo zimekuwa zikimwaga hapa jamvini juu ya hypersonic za Urusi. Hypersonic hizo zimekuwa dhaifu mno mpaka sasa Urusi katumia zaidi ya kumi lakini ufanisi wake ni wa chini sana, hivyo kushindwa kuimaliza vita.

Kwa hali hii hamna namna ndiyo maana Putin analialia kwa sasa, ni wazi kwamba nguvu zake za kijeshi zimeanza kunyongonyezwa.

___________________________________________

Marekani: Urusi yarusha makombora ya kasi 'hypersonic ' zaidi ya 10 tangu vita kuanza

Pentagon inaamini kwamba Urusi imetumia silaha zake za hypersonic takriban 10 hadi 12 tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa afisa mkuu wa ulinzi.

Akizungumza na waandishi wa habari siku ya Jumanne, afisa huyo alisema Marekani haina "hesabu kamili" ya kutumwa kwa silaha hiyo.

Urusi inadai kuwa kombora la Kinzhal ambalo linaweza kulenga shabaha hadi kilomita 2,000 (maili 1,240) na linaweza kuruka kwa kasi ya zaidi ya kilomita 6,000 kwa saa, lilirushwa kwa mara ya kwanza kwenye shabaha nchini Ukraine mwezi Machi.

Hivi karibuni, maafisa wa Ukraine walidai kuwa silaha hiyo ilitumiwa huko Odesa mwishoni mwa juma.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.

Ok
 
Pamoja na sifa kedekede ambazo zimekuwa zikimwaga hapa jamvini juu ya hypersonic za Urusi. Hypersonic hizo zimekuwa dhaifu mno mpaka sasa Urusi katumia zaidi ya kumi lakini ufanisi wake ni wa chini sana, hivyo kushindwa kuimaliza vita.

Kwa hali hii hamna namna ndiyo maana Putin analialia kwa sasa, ni wazi kwamba nguvu zake za kijeshi zimeanza kunyongonyezwa.

___________________________________________

Marekani: Urusi yarusha makombora ya kasi 'hypersonic ' zaidi ya 10 tangu vita kuanza

Pentagon inaamini kwamba Urusi imetumia silaha zake za hypersonic takriban 10 hadi 12 tangu kuanza kwa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa afisa mkuu wa ulinzi.

Akizungumza na waandishi wa habari siku ya Jumanne, afisa huyo alisema Marekani haina "hesabu kamili" ya kutumwa kwa silaha hiyo.

Urusi inadai kuwa kombora la Kinzhal ambalo linaweza kulenga shabaha hadi kilomita 2,000 (maili 1,240) na linaweza kuruka kwa kasi ya zaidi ya kilomita 6,000 kwa saa, lilirushwa kwa mara ya kwanza kwenye shabaha nchini Ukraine mwezi Machi.

Hivi karibuni, maafisa wa Ukraine walidai kuwa silaha hiyo ilitumiwa huko Odesa mwishoni mwa juma.

Afisa huyo wa Marekani, hata hivyo, alisema kuwa "hana chochote cha kuashiria" kwamba zilitumiwa dhidi ya sehemu zilizokuwa zinalengwa katika jiji hilo.

Alisikika mchambuzi mmoja toka Kazuramimba
 
Hayo yote yanakombolewa soon, endelea kutega sikio, isitoshe wakati mnayachukua mlikuwa mmetumia ambush Ukraine aikujiandaa kwa vita ila kwa sasa tayari wanna morale yakupigania nchi yao na misaada ya kijeshi na kifedha wanayopata inawafanya wajipange upya kuja kukomboa hayo maeneo mliokwisha kuchukua.
"Aijajiandaa"😆😆
Hovyo kabisa,hata kuandika hujui
Ngoja tukusaidie, Ukraine imejiandaa kwa hii vita toka 2014, Crimea ilipochukuliwa na Urusi,marekani na NATO imekuwa ikitoa mafunzo ya kisasa kwa jeshi la Ukraine na silaha, Advisers wa kijeshi kutoka marekani wamepiga kambi mda mrefu Sana pia wakati Urusi ikikusanya majeshi yake mpakani mwa Ukraine,Canada na nchi washirika ikitoa pesa Latvia ikatoa Silaha mfano "stinger missile" Ujerumani ikafuatia na nchi nyingine kama marekani zikaleta silaha nyingi Sana Ukraine, hapo hata Urusi ilikuwa haijaingia Ukraine. uwe unafuatilia Mambo na sio kukurupuka tu.misaada wakaona haitoshi,Marekani na NATO,wameleta wanajeshi wengi sana Ukraine kwa pazia ya "mercenaries"na wote wanakula kichapo na bado Urusi imeendelea kuteka maeneo mengi Sana na kuimega Ukraine na kuleta uharibifu wakutisha. Usifikiri JF ni ya watu wa darasa la Saba Kama ww.
 
UKRAINE anashinda hii vita yake maana nasikia kakomboa marioo pol kakomboa odessa kakomboa Don bas yoote kakomboa kharkiv kakomboa Azov ile namida hii kapita na CRIMEA anaelea MOSCOW
VIVA UKRAINE
Pro- NATO wasivyo na akili wanaweza kushangilia kwa hii sarcasm. Maana hata taarifa ya Marekani kwenye post wanasema hawana uhakika wa hypersonic ngapi na wapi zimetumika, lakini hamunazo Annunaki keshaleta uharo eti hazina shabaha na kumi zimetumika.
 
Back
Top Bottom