GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,885
Ni kwanini mwanaume yoyote yule akiwa ameshamtongoza mwanamke na wameshakubaliana kwenda iwe ni ghetoni kwa mwanaume au Gesti kama siyo Loji basi lazima tu mwanaume ndiyo atakuwa anaongoza msafara (anatangulia mbele) muda wote.
Lakini, baadaye wakishamaliza 'Uzinifu' wao hilo jambo hubadilika na muongoza msafara mkuu sasa wa kutoka na kuelekea majumbani mwao kila mmoja huwa ni mwanamke na mwanaume huwa anakuwa nyuma na hata ‘spidi ‘ yake huwa imepungua tofauti na ile ya mwanzo?
Nitashukuru wanasaikolojia mliopo hapa jamvini (jukwaani) JamiiForums mkitufafanulia na Kutuchambulia sisi tusiofahamu.
Lakini, baadaye wakishamaliza 'Uzinifu' wao hilo jambo hubadilika na muongoza msafara mkuu sasa wa kutoka na kuelekea majumbani mwao kila mmoja huwa ni mwanamke na mwanaume huwa anakuwa nyuma na hata ‘spidi ‘ yake huwa imepungua tofauti na ile ya mwanzo?
Nitashukuru wanasaikolojia mliopo hapa jamvini (jukwaani) JamiiForums mkitufafanulia na Kutuchambulia sisi tusiofahamu.