TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 995
- 1,508
Wanasaikolojia wengi kama sio wote wanashauri watu wawesema mahasibu yanayowakumba ili wasaidike wakiamini kwamba watu hawasemi wanakaa na mambo moyoni kitu kinachopelea kufanya maamuzi magumu ili hali wangesema wangesaidika.
Ukweli ni kwamba sio kwamba watu hawawashirikishi watu matatizo yao hapana,kinachowafanya watu wafanye maamuzi magumu ni kupuuzwa na watu watu wao wakaribu na mara nyingi ni ndugu wa damu kabisaaaa.
Mtu unamshirikisha jambo na unaona kabisa na unauhakika kabisa lipo ndani ya uwezo wake ila anachukulia poa anakwambia tu Sorry, God will make a way,ndio imeisha,utafikiri kwamba wakati anashirikishwa mhanga hakujua kwamba God always make a way to escape,hajui kwamba pale ndio anaitafuta hiyo way kupotia yeye,RUBBISH,kibaya zaidi wakiachana ndio imetoka hiyo hata kumpigia simu kujua kama amefanikiwa au lah hapigi Ana mute.
Kuna familia nyungine ukienda kuomba msaada badala yakushughurikia tatizo lotatuliwe wanaanza kulijadili tatizo,kukukosoa mambo lukuki ,yaani wana mu-electrify anaanza kuhisi hapo ndio ukomo na akiondoka hata hawajali.
It's an experience to me and not a story to tell,people are too much stupid.
Kwa upande wangu mimi I live differently, I trust on my self than any,highly emotionally developed,nikiamua kukushirikisha ukaleta stories nakucharua.
Wanaosababisha matatizo ni hawa tunaowashirikisha mambo yetu.
Ukweli ni kwamba sio kwamba watu hawawashirikishi watu matatizo yao hapana,kinachowafanya watu wafanye maamuzi magumu ni kupuuzwa na watu watu wao wakaribu na mara nyingi ni ndugu wa damu kabisaaaa.
Mtu unamshirikisha jambo na unaona kabisa na unauhakika kabisa lipo ndani ya uwezo wake ila anachukulia poa anakwambia tu Sorry, God will make a way,ndio imeisha,utafikiri kwamba wakati anashirikishwa mhanga hakujua kwamba God always make a way to escape,hajui kwamba pale ndio anaitafuta hiyo way kupotia yeye,RUBBISH,kibaya zaidi wakiachana ndio imetoka hiyo hata kumpigia simu kujua kama amefanikiwa au lah hapigi Ana mute.
Kuna familia nyungine ukienda kuomba msaada badala yakushughurikia tatizo lotatuliwe wanaanza kulijadili tatizo,kukukosoa mambo lukuki ,yaani wana mu-electrify anaanza kuhisi hapo ndio ukomo na akiondoka hata hawajali.
It's an experience to me and not a story to tell,people are too much stupid.
Kwa upande wangu mimi I live differently, I trust on my self than any,highly emotionally developed,nikiamua kukushirikisha ukaleta stories nakucharua.
Wanaosababisha matatizo ni hawa tunaowashirikisha mambo yetu.