Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,881
- 19,189
majibu ushayapata, hapo wanacheza na saikolojia za wanunuzi ili waone kama bei ni ndogo. Ni sawa tu na baadhi ya maduka au kampuni zinazopunguza asilimia 50 ya bei za vitu msimu wa sikukuu lakini kiuhalisia huwa wanapandisha bei halisi ili punguzo unalopata liwe chini ya hizo asilimia. Ila ukinunua si unakuwa umefurahi na kufarijika 😊