Wanapata Kwa Raha Zao

Power G

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
3,886
1,193
Hapa hakuna cha Baamedi wala kuchunwa wala mchunaji, watu wanaburudika kwa raha zao tu
 

Attachments

  • Kwa Raha Zao.png
    Kwa Raha Zao.png
    57.9 KB · Views: 86
afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine.
Hadi raha
 

Hii picha ni kama nishawahi kuiona kwenye video ya GNL Nzamba ya kuitwa 'soda'.
 
afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine.
Hadi raha
Mkuu Kongosho wataendaje kupiga yale mambo yenu wakati hicho kinywaji ni kwa jinsia moja tu?
 
Wakipata TB wanaanza kusema wamelogwa na yule jirani, ananionea wivu kwa kuwa nimenunua yeboyebo jipya. (waone, wote wana yeboyebo)
 
Back
Top Bottom