Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Nov 24, 2011 #1 Hapa hakuna cha Baamedi wala kuchunwa wala mchunaji, watu wanaburudika kwa raha zao tu Attachments Kwa Raha Zao.png 57.9 KB · Views: 86
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Nov 24, 2011 #2 afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha
afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Nov 24, 2011 #3 Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu..
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Nov 24, 2011 #4 Katavi said: Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu.. Click to expand... huko hakuna ujinga huo full kuaminiana huko bwana Katavi...
Katavi said: Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu.. Click to expand... huko hakuna ujinga huo full kuaminiana huko bwana Katavi...
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 25, 2011 #6 dah! Aise na cmu yangu ya mchina sijaona kitu. Nalog off
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 Nov 25, 2011 #7 Hii picha ni kama nishawahi kuiona kwenye video ya GNL Nzamba ya kuitwa 'soda'.
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Nov 25, 2011 Thread starter #8 kongosho said: afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha Click to expand... Mkuu Kongosho wataendaje kupiga yale mambo yenu wakati hicho kinywaji ni kwa jinsia moja tu?
kongosho said: afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha Click to expand... Mkuu Kongosho wataendaje kupiga yale mambo yenu wakati hicho kinywaji ni kwa jinsia moja tu?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,799 Nov 25, 2011 #9 Wakipata TB wanaanza kusema wamelogwa na yule jirani, ananionea wivu kwa kuwa nimenunua yeboyebo jipya. (waone, wote wana yeboyebo)
Wakipata TB wanaanza kusema wamelogwa na yule jirani, ananionea wivu kwa kuwa nimenunua yeboyebo jipya. (waone, wote wana yeboyebo)
V vunjajungu JF-Expert Member Nov 25, 2011 576 240 Nov 25, 2011 #10 kumbe hata kwenye haya mambo mtungo unahusika!