Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,200 Nov 24, 2011 #1 Hapa hakuna cha Baamedi wala kuchunwa wala mchunaji, watu wanaburudika kwa raha zao tu Attachments Kwa Raha Zao.png 57.9 KB · Views: 93
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,233 Nov 24, 2011 #2 afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha
afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,928 Nov 24, 2011 #3 Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu..
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,589 Nov 24, 2011 #4 Katavi said: Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu.. Click to expand... huko hakuna ujinga huo full kuaminiana huko bwana Katavi...
Katavi said: Unaweza kunywa makohozi ya mwenzako, uchafu tu.. Click to expand... huko hakuna ujinga huo full kuaminiana huko bwana Katavi...
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Nov 24, 2011 #5 Hapo ni uwezo wako tu wa kufyonza.
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,974 Reaction score 13,430 Nov 25, 2011 #6 dah! Aise na cmu yangu ya mchina sijaona kitu. Nalog off
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,351 Nov 25, 2011 #7 Hii picha ni kama nishawahi kuiona kwenye video ya GNL Nzamba ya kuitwa 'soda'.
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,200 Nov 25, 2011 Thread starter #8 kongosho said: afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha Click to expand... Mkuu Kongosho wataendaje kupiga yale mambo yenu wakati hicho kinywaji ni kwa jinsia moja tu?
kongosho said: afu wakimaliza wanaenda kupiga yale mambo yetu kwa salama moja, akimaliza mmoja inasuuzwa afu anatumia mwingine. Hadi raha Click to expand... Mkuu Kongosho wataendaje kupiga yale mambo yenu wakati hicho kinywaji ni kwa jinsia moja tu?
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,438 Reaction score 166,904 Nov 25, 2011 #9 Wakipata TB wanaanza kusema wamelogwa na yule jirani, ananionea wivu kwa kuwa nimenunua yeboyebo jipya. (waone, wote wana yeboyebo)
Wakipata TB wanaanza kusema wamelogwa na yule jirani, ananionea wivu kwa kuwa nimenunua yeboyebo jipya. (waone, wote wana yeboyebo)
V vunjajungu JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 576 Reaction score 246 Nov 25, 2011 #10 kumbe hata kwenye haya mambo mtungo unahusika!