Habari
nilikuwa nailiza haya makampun Kama Yahoomail, gmail,hotmail,vodamail na mengine mengi jamii kama hayo huwa wanapa faida gani toka kwangu mie mteja wao? Nilikuwa nahitaji jua!
zile ni portal zina mambo mengi tofauti na email wewe kua mteja wao wanapata faida hizi.
1. Utaangalia matangazo ambayo wao wameyaweka na kuwaingizia wao hela
2. Ukiwa na email inaweza kupelekea kutamani huduma zao nyengine za kulipia kama kununua magame.
3. Wanakua na watu wengi na wanapokua na watu wengi inakua kampuni kubwa na yenye nguvu hii huwasaidia kwenye competition na negotiations. Mfano kampuni inataka ijitangaze worldwide itaangalia ni portal ipi ina user wengi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.