Wanaovujisha taarifa na nyaraka muhimu za serikali, hii imekaaje?

Sioni tatizo kuvujisha maovu ya serikali, nategemea serikali iwe safi kwa maneno na matendo. Kinyume cha hapo, maovu yavujishwe tu. Ndio maana tuna option ya kuikataa serikali katika chaguzi.
 
Bunge letu ukiiangalia ile sheria ya makosa ya mtandao ni the opposite of whistleblower protection.

Kuna siku niliweka opinion poll hapa, kuangalia watu wanavyo m support Magufuli kwa kura JF.

JF wakaitoa haraka sana. Eti kuna sheria inakataza wao kuwa na poll kama hiyo.

Vitu vya kijingajinga tunavipenda sana.

Sent from my Kimulimuli
Na sheria za Tz Ndio sina sababisha wakose ushirikiano na wana nchi,sababu ukitoa taarifa utaanza kusemwa ndani kwanza usaidie Polish,hakuna kumlinda whistleblower.

Sijui jf nao wanakuaga na nini,juzi nimeweka Uzi kuna tetesi za kumi impeach trump congressman Steve nani sijui kazitoa taarifa,jf wameutoa ile Uzi Hata sijui kwanini.
 
mkuu, kama bosi mkuu mwenyewe anakiuka si maadili tu bali kuvunja katiba kabisa...wengine wafanyeje?

wacha mbwai na iwe mbwai bana hadi kieweleke utawala wa sheria utakapoanza kuheshimiwa tena!!
Rais anayetakiwa kuhimiza Watanzania wote wafuate sheria kawaambia askari kwamba wakikuta gari la raia lipo barabara ya mwendokasi walichukue, walipeleke polisi, watoe matairi, wauze, halafu mwenyewe akija waseme lilikuja hivyo hivyo.

Rais anayetakiwa kuhumiza utawala wa sheria anahumiza askari waibe.

Halafu wananchi wanamshangilia.

Sent from my Kimulimuli
 
Rais anayetakiwa kuhimiza Watanzania wote wafuate sheria kawaambia askari kwamba wakikuta gari la raia lipo barabara ya mwendokasi walichukue, walipeleke polisi, watie matairi, wauze, halafu mwenyewe akija waseme lilikuja hivyo hivyo.

Rais anayetakiwa kuhumiza utawala wa sheria anahumiza askari waibe.

Halafu wananchi wanamshangilia.

Sent from my Kimulimuli
umeona eeh?
 
umeona eeh?
Hivi Magufuli kwa kauli za kijinga kama hizi na ile ya kuwaita mawaziri wake wapumbavu, watu bado wanamoendea nini?

Ni kukosa elimu, upofu unaotokana na mahaba, uzalendo wa kijinga au vyote kwa pamoja?

Sent from my Kimulimuli
 
Hivi Magufuli kwa kauli za kijinga kama hizi na ile ya kuwaita mawaziri wake wapumbavu, watu bado wanamoendea nini?

Ni kukosa elimu, upofu unaotokana na mahaba, uzalendo wa kijinga au vyote kwa pamoja?

Sent from my Kimulimuli
kutojitambua na ubinafsi...
 
Usalama wa Taifa kama ungekuwa haujihusishi na siasa mafisadi Mkapa, Kikwete, Magufuli na wengine chungu nzima ndani ya CCM na Serikali wangekuwa Lupango miaka mingi iliyopita. Usalama wa Taifa walibadili jina kimya kimya sasa wanaitwa usalama wa MACCM.

Huwezi kuwa na usalama wa Taifa chini na kukawepo madudu kiasi hiki nchini, ni kitengo cha MACCM hao.

Sidhani kama TISS wanajihusiaha na siasa.

Isitoshe kuna tetesi kwamba kuna jamaa wapo kwenye mikono salama saa hii wakiwasaidia TISS kuhusiana na hili la juzi.

Unaposema TISS ndiyo wanahuska kuvujisha hizo nyaraka na taarifa kwa maslahi mapana ya nchi unamaanisha nini?

Kwamba nchi itataifishwa? are you serious?

Tufafanulie kiongozi.
 
Mkuu Tatizo ZOEZI LA UHAKIKI halimaliziki, KUPANDISHWA MADARAJA BADO TOKA MWAKA JUZI..sasa ujue watumishi wamefikia hapo walipo..hii nchi yetu sote...
Ni kawaida ya limbukeni kulimbuka.

Wahenga walisema "masikini akipata, matako hulia mbwata".

Huu uhakiki usioisha ni matako ya masikini yanalia mbwata, mbwata.

Sent from my Kimulimuli
 
Usalama wa Taifa kama ungekuwa haujihusishi na siasa mafisadi Mkapa, Kikwete, Magufuli na wengine chungu nzima ndani ya CCM na Serikali wangekuwa Lupango miaka mingi iliyopita. Usalama wa Taifa walibadili jina kimya kimya sasa wanaitwa usalama wa MACCM.

Huwezi kuwa na usalama wa Taifa chini na kukawepo madudu kiasi hiki nchini, ni kitengo cha MACCM hao.

Chief upo?

Naona hii issue imeleta mtafaruku mahali Fulani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nipo Mkuu heshima yako. Mitafaruku katika nchi ambayo imeamua sheria zake zote zidharauliwe ikiwemo katiba lazima iwepo. Sheria za nchi sasa ni kutoka maagizo ya mamlaka za juu.

Kwa mara ya kwanza nchini kwetu mtu anachota trillions kutoka hazina bila idhini ya Bunge na usalama wa MACCM Oooops! Wa Taifa kimyaaaa! Haiwahusu!

Chief upo?

Naona hii issue imeleta mtafaruku mahali Fulani.
 
Wee unadhani TISS wanafanya kazi na ccm tu????

Waliotoa hizo secret Info we unadhani ni raia wa kawaida????

Usalama wanafanya hivyo kwa maslai mapama ya nchi.... Huo ndio uzalendo nchi ikija kutaifishwa kwa madeni ya kizembe nani atakae laumiwa?? Serikali, jeshi la polisi, jwtz au usalama nani atakae laumiwa???
Hapa ndo point ilipo Mkuu.Hakika wenye akili Kubwa tumekuelewa sana.Uzalendo ni kuangalia maslahi mapana ya Taifa bila kujari itikadi za vyama.Uzalendo sio kusifia au kuzomea tu Bali kukosoa na kutoa solution.Wanafki wengi Siku izi wamejificha ktk kivuli cha uzalendo!!!Taifa linaangamia kwa sababu vijana wengi wameingia kwenye ushabiki wa vyama.
 
Nipo Mkuu heshima yako. Mitafaruku katika nchi ambayo imeamua sheria zake zote zidharauliwe ikiwemo katiba lazima iwepo. Sheria za nchi sasa ni kutoka maagizo ya mamlaka za juu.

Kwa mara ya kwanza nchini kwetu mtu anachota trillions kutoka hazina bila idhini ya Bunge na usalama wa MACCM Oooops! Wa Taifa kimyaaaa! Haiwahusu!

Dah naelewa il atu hii issue ya kuvujisha hizi nyaraka za serikali.

Kama unakumbuka wakati Augustino Mrema alipohamia upinzani mwaka 1995 alikuwa akipata taarifa nyingi sana za ndani yaani jikoni.

Lakini uchunguzi ulipofanywa ikagundulika kwamba walikuwa ni vijana wake wengi ambao aliwafundisha pale Mbweni.

Kitengo kikarekebisha hilo na hata baadae tukazidi kuona watu fulani wakishughulikiwa.

Lakini sasa ni miaka Zaidi ya 20 imepita kweli serikali haijaweza kuweka sera madhubuti za kudhibiti hali hii?

Rejea bandiko langu kule intelligence kuhusu majasusi wa kiuchumi na wengine kwamba kama hakuna jitihada za dhati kudhibiti hili basi tunaonyesha kwamba sisi ni weupe sana kwenye hili suala.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Suala ni kuvujishwa kwa nyaraka za serikali na watumishi wa serikali je, ni halali kulingana na miiko yao ya kazi?


What is miiko?hata zamani wanawake wajawazito walikatazwa kula mayai wakiambiwa eti ni miiko!!!

Ebu niambie Mkuu lipi bora kuheshimu hiyo unayoiita miiko huku unalea matatizo au kuvunja hiyo miiko ukasolve matatizo?
 
Uzalendo kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali?

Mkuu unaelewa maana ya serikali?

Escrow ungeijuaje kama sio uzalendo wa aina hii? Tueleze. Wagekaa kimya ndio maslahi ya nchi? Ila kuna mambo mengine sio sawa kuyasema hata ukiwa na habari zake ni vyema kuzichuja kwanza
 
What is miiko?hata zamani wanawake wajawazito walikatazwa kula mayai wakiambiwa eti ni miiko!!!
Ebu niambie Mkuu lipi bora kuheshimu hiyo unayoiita miiko huku unalea matatizo au kuvunja hiyo miiko ukasolve matatizo?

Suala hapa ni kwamba ndege imezuiliwa mpaka serikali itakapolipa deni kwa hao wanaoidai sawa?

Kwa maana kwamba kama ipo pesa nusu imelipwa na bado serikali inajitahidi kulimaliza hilo suala halafu anatokea mtu anaingilia mchakati huo na kuweka kwenye public domain wewe unaona hiyo ni sawa?

Kumbuka haya majadiliano na namna ya kulipana yanafanyika nje ya nchi na siyo hapahapa Tanzania.
 
Mkuu hakuna tatizo kuvujisha uozo wa Serikali. Wazalendo wa nchi wamechoshwa kabisa na uhuni unaofanywa dhidi ya Taifa letu madudu kila kona ya mafisadi Mkapa, Kikwete na huyo dikteta uchwara.

Wacha watujuze tu hawa wenzetu, kungekuwa hakuna madudu wasingevujisha hizo docs.

Dah naelewa il atu hii issue ya kuvujisha hizi nyaraka za serikali.

Kama unakumbuka wakati Augustino Mrema alipohamia upinzani mwaka 1995 alikuwa akipata taarifa nyingi sana za ndani yaani jikoni.

Lakini uchunguzi ulipofanywa ikagundulika kwamba walikuwa ni vijana wake wengi ambao aliwafundisha pale Mbweni.

Kitengo kikarekebisha hilo na hata baadae tukazidi kuona watu fulani wakishughulikiwa.

Lakini sasa ni miaka Zaidi ya 20 imepita kweli serikali haijaweza kuweka sera madhubuti za kudhibiti hali hii?

Rejea bandiko langu kule intelligence kuhusu majasusi wa kiuchumi na wengine kwamba kama hakuna jitihada za dhati kudhibiti hili basi tunaonyesha kwamba sisi ni weupe sana kwenye hili suala.
 
Mkuu jibu umalo kuwa NI KINYUME NA MAADILI YA UTUMISHI, ila serikali ni watu (not ANGELS) so kuvuja kwa nyaraka/siri kutakuwepo hadi mwisho wa dunia. Kuhusu Trump,the guy amem-fire Chief Strategist wake kwa 'KUHISI KUWA ANAVUJISHA TAARIFA KWA WANA HABARI'. If JPM anaweza KUHISI fine,afukuze watu tu but siyo suluhu.
 
Back
Top Bottom