lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,543
- 1,974
Ni mawazo yangu tu, Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli ,ni rais ambaye ana kila sababu ya Kupendwa na wananchi wa Tanzania.
Rais huyu aliingia madarakani akiikuta CCM ukiwa ktk khali mbaya,licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na Mh Kinana na Mh Nnauye
Hawa magwiji wawili walijipanga kwa ufahamu mkubwa wa nn wananchi wanataka juu ya serikali yao, mpaka kuna baadhi ya mawaziri waliwaita Mizigo.
Kwa hakika hapa upinzani ulipigwa bao bila kujitambua wenzao walianza kampeni mapema ya kukinadi chama chao,kwa kuikosoa na kuipongeza serikali pale ilipostahili.
Baada ya purukushani zote,za upinzani kwa maana ya CHADEMA kuwa na operesheni sangara na CCM kuwa na ziara ndefu ya kuimarisha chama.
CHADEMA kwa maana ya UKAWA wakaibuka na neno MABADILIKO huku CCM wakiibuka na MABADILIKO YA KWELI, mpaka hapo unaona wote wanakubaliana Taifa linahitaji MABADILIKO ili lisonge mbele.
Kampeni zikapigwa mwisho mshindi akapatikana.na Mara moja tukaingia ktk shughuli za maendeleo,sio siri ni kujidanganya kwamba eti huwa tunasahau yalyopita ktk chaguzi.
Kwa hakika kabisa huwa tunahama na majigambo,matusi,majivuno,kejeli,visasi,upendo ,vurugu na kila kitu tunahamishia kwenye ushindi na kushindwa.
Ndo maana licha ya mafanikio ya serikali ya awamu ya 4 na madudu ya serikali hiyo upinzani ulipongeza na kuikosoa kwa nguvu zote.huku CCM wakipiga makofi ya kupongeza tu.
Sasa serikali ya awamu ya 5 iliyoingia kwa kauli mbiu ya MABADILIKO YA KWELI ilianza kwa kutoa kauli iliyoonesha kweli MABADILIKO mkuu aliwaambia CCM wenzake kubalini kushindwa.
Kauli hili aliitoa pale alipoona CCM, wanajitahidi kupindisha Hata palipo pagumu juu ya umeya wa jiji la Dar es salaam, baada ya kauli yske uchaguzi ukafanyika na maisha yakaendelea.
Naamini hili halikuwapendeza wana CCM wengi saana ndipo mbinu mbalimbali zinaandaliwa kumrejesha Mkuu kwenye ile CCM ISIYOPENDA MABADILIKO.
Ndo maana licha ya upinzani kuwa wa kwanza kuikosoa na kukemea juu ya mikataba mibovu juu ya Madini wizi wa ESCROW serikali haitaki kuwashirikisha kwa lolote.
Na ushauri wowote watakapoutoa popote haukubaliki zaidi ya kuonekana ni uchochezi hapa ndipo vile visasi,kejeli za uchaguzi zinapoendelezwa.
Naamini Mh Rais angeendelea na msimamo wake wa MABADILIKO ya kweli + MABADILIKO na kuamua kuuishi msemo wake Maendeleo hayana CHAMA.
Angependwa saana na kila upande angefahamu mengi na angetumbua wengi na nchi ingekuwa imepaa zaidi na zaidi.neno upendo likizingatiwa na Rais basi.
Rais huyu aliingia madarakani akiikuta CCM ukiwa ktk khali mbaya,licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na Mh Kinana na Mh Nnauye
Hawa magwiji wawili walijipanga kwa ufahamu mkubwa wa nn wananchi wanataka juu ya serikali yao, mpaka kuna baadhi ya mawaziri waliwaita Mizigo.
Kwa hakika hapa upinzani ulipigwa bao bila kujitambua wenzao walianza kampeni mapema ya kukinadi chama chao,kwa kuikosoa na kuipongeza serikali pale ilipostahili.
Baada ya purukushani zote,za upinzani kwa maana ya CHADEMA kuwa na operesheni sangara na CCM kuwa na ziara ndefu ya kuimarisha chama.
CHADEMA kwa maana ya UKAWA wakaibuka na neno MABADILIKO huku CCM wakiibuka na MABADILIKO YA KWELI, mpaka hapo unaona wote wanakubaliana Taifa linahitaji MABADILIKO ili lisonge mbele.
Kampeni zikapigwa mwisho mshindi akapatikana.na Mara moja tukaingia ktk shughuli za maendeleo,sio siri ni kujidanganya kwamba eti huwa tunasahau yalyopita ktk chaguzi.
Kwa hakika kabisa huwa tunahama na majigambo,matusi,majivuno,kejeli,visasi,upendo ,vurugu na kila kitu tunahamishia kwenye ushindi na kushindwa.
Ndo maana licha ya mafanikio ya serikali ya awamu ya 4 na madudu ya serikali hiyo upinzani ulipongeza na kuikosoa kwa nguvu zote.huku CCM wakipiga makofi ya kupongeza tu.
Sasa serikali ya awamu ya 5 iliyoingia kwa kauli mbiu ya MABADILIKO YA KWELI ilianza kwa kutoa kauli iliyoonesha kweli MABADILIKO mkuu aliwaambia CCM wenzake kubalini kushindwa.
Kauli hili aliitoa pale alipoona CCM, wanajitahidi kupindisha Hata palipo pagumu juu ya umeya wa jiji la Dar es salaam, baada ya kauli yske uchaguzi ukafanyika na maisha yakaendelea.
Naamini hili halikuwapendeza wana CCM wengi saana ndipo mbinu mbalimbali zinaandaliwa kumrejesha Mkuu kwenye ile CCM ISIYOPENDA MABADILIKO.
Ndo maana licha ya upinzani kuwa wa kwanza kuikosoa na kukemea juu ya mikataba mibovu juu ya Madini wizi wa ESCROW serikali haitaki kuwashirikisha kwa lolote.
Na ushauri wowote watakapoutoa popote haukubaliki zaidi ya kuonekana ni uchochezi hapa ndipo vile visasi,kejeli za uchaguzi zinapoendelezwa.
Naamini Mh Rais angeendelea na msimamo wake wa MABADILIKO ya kweli + MABADILIKO na kuamua kuuishi msemo wake Maendeleo hayana CHAMA.
Angependwa saana na kila upande angefahamu mengi na angetumbua wengi na nchi ingekuwa imepaa zaidi na zaidi.neno upendo likizingatiwa na Rais basi.