Wanaovujisha taarifa na nyaraka muhimu za serikali, hii imekaaje?

Tundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.

Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.

Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.

Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,

Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?

Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?

Karibu tujadili bila kuingiza siasa.

Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.
Ungesema ni uongo ingekuwa sawa lkn kama kweli mmmmm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala hapa ni kwamba ndege imezuiliwa mpaka serikali itakapolipa deni kwa hao wanaoidai sawa?

Kwa maana kwamba kama ipo pesa nusu imelipwa na bado serikali inajitahidi kulimaliza hilo suala halafu anatokea mtu anaingilia mchakati huo na kuweka kwenye public domain wewe unaona hiyo ni sawa?

Kumbuka haya majadiliano na namna ya kulipana yanafanyika nje ya nchi na siyo hapahapa Tanzania.
Ebu twende taratibu sasa Mkuu.Deni tunalodaiwa limetokana na nini?tulikopa kwa ajiri ya shughuli za maendeleo au?na kama tulikopa yanini kuwe na siri as long wakopaji ndio walipaji?
 
Ebu twende taratibu sasa Mkuu.Deni tunalodaiwa limetokana na nini?tulikopa kwa ajiri ya shughuli za maendeleo au?na kama tulikopa yanini kuwe na siri as long wakopaji ndio walipaji?

Kama serikali inakopa au imepewa mkopo huwa inakuwa official na inatangazwa na kila mwananchi anafahamu.

Haya mambo mengine kama si official basi yanabakia kuwa unofficial hadi yatakapokuwa official.

Pili, hili jambo si mkopo na wala taarifa zaidi hatuna kwani huyo kibaraka wa wazungu Tundu Lissu yeye ni mwandishi wa habari mpaka atangaze jambo hilo?
 
Kama serikali inakopa au imepewa mkopo huwa inakuwa official na inatangazwa na kila mwananchi anafahamu.

Haya mambo mengine kama si official basi yanabakia kuwa unofficial hadi yatakapokuwa official.

Pili, hili jambo si mkopo na wala taarifa zaidi hatuna kwani huyo kibaraka wa wazungu Tundu Lissu yeye ni mwandishi wa habari mpaka atangaze jambo hilo?
Kama ndivyo bac Mimi silioni tatizo kwa hao watoa nyaraka kwa Lisu wala Lisu mwenyewe
 
Suala hapa ni kwamba ndege imezuiliwa mpaka serikali itakapolipa deni kwa hao wanaoidai sawa?

Kwa maana kwamba kama ipo pesa nusu imelipwa na bado serikali inajitahidi kulimaliza hilo suala halafu anatokea mtu anaingilia mchakati huo na kuweka kwenye public domain wewe unaona hiyo ni sawa?

Kumbuka haya majadiliano na namna ya kulipana yanafanyika nje ya nchi na siyo hapahapa Tanzania.
.....watu wenye Mawazo kama haya uliyoandika ndio wamejaa huko Seriakalini
......hebu niambie chanzo cha hilo DENI yaani upuuzi wa mkurupukaji mmoja anaeitia madeni Nch ndio iwe Siri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.....watu wenye Mawazo kama haya uliyoandika ndio wamejaa huko Seriakalini
......hebu niambie chanzo cha hilo DENI yaani upuuzi wa mkurupukaji mmoja anaeitia madeni Nch ndio iwe Siri?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila mimi si mtu wa serikalini il ani mdau tu na msajiriamali.

Napenda kufanya uchambuzi tu wa masuala mbalimbali kutafuta ukweli.
 
Tundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.

Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.

Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.

Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,

Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?

Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?

Karibu tujadili bila kuingiza siasa.

Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.
Ukiona hivyo walioko ndani ya serikali wamechoshwa na tilalila ya wanayemtumikia.
 
Kama serikali inakopa au imepewa mkopo huwa inakuwa official na inatangazwa na kila mwananchi anafahamu.

Haya mambo mengine kama si official basi yanabakia kuwa unofficial hadi yatakapokuwa official.

Pili, hili jambo si mkopo na wala taarifa zaidi hatuna kwani huyo kibaraka wa wazungu Tundu Lissu yeye ni mwandishi wa habari mpaka atangaze jambo hilo?
Mkuu umejizungushaa hadi kufikia Comment hii umejidhihirisha nawe ni walewale Mlifanya mikurupuko
yenu Deni linatuumiza wengine hata hatuna Nasaba nanyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu wa Chadema amethibitisha kwamba anazo taarifa na nyaraka mbalimbali ambazo amepewa na baadhi ya watu wanaoaminika kwamba ni watumishi wa serikali.

Tundu Lissu amepewa nyaraka hizi na watu hawa kwa minajili ya kuzitumia kwa manufaa yake yaani kupalilia safari yake kisiasa na kujipatia umaarufu.

Ni hivi majuzi tu raisi wa Marekani Donald Trump alichukua hatua ya kurekebisha hilo ambapo baadhi ya wasaidizi wake wametuhumiwa kuvujisha taarifa mbalimbali kutoka ndani ya White House kwa waandishi wa habari na wapinzani wake.

Taarifa nyingi za serikali zina utaratibu wake wa kuzihifadhi na hupewa jina maalum la "top secret" au "classified information" kuzuia uwezekano wa kudukuliwa au kuibiwa,

Je, sheria inasemaje juu ya hili la kuvujisha taarifa na nyaraka za serikali kwa watumishi wa umma?

Je, yapi majukumu ya mdhibiti mkuu wa nyaraka za serikali na msemaji wa serikali au maofisa habari "information officers" kwamba labda kuna mahali wanapwaya?

Karibu tujadili bila kuingiza siasa.

Tunapojadili tuzingatia umuhimu wa kuhifadhi nyaraka na taarifa za serikali na wajibu wa maofisa habari na mdhibiti mkuu wa taarifa na nyaraka za serikali.

Yawezekana wapo watumishi wengine wanaovujisha habari ambazo hazipaswi kila mtu azifahamu, naiomba swerikali yetu ifanye uchunguzi wa kina ili kujua ni nani aliyevujisha habari hizi? N kama akipatikana apewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wenye tabia kama hizo.
 
Shida iko mahali tena ni kubwa kwa vyombo vya usalama. Mfano wakuu wa vyombo hivyo wanafikiri uzalendo ni kulinda madudu na udhalimu wa watawala, chama dola na serikali dhalimu. Kumbe huo ni usaliti kwa wananchi.
 
Serikali ni SISI... Unawezaje kuficha mambo yanayohusu maslahi ya taifa! Ifike wakati nyinyi kama viongozi mjue na sisi pia tunaipenda nchi yetu, hatuna jiwe wala reli vifuani, tuna mioyo ya nyama kama yenu tu. Tunaumia sana mnapojifanya nyinyi sio binadamu kama sisi, as if nyinyi mnakidney 3, macho 6, miguu 8.. Sote tuko sawa ndiyo sababu sote tunaugua na kufa.

Narudia tena, kuvujisha siri za serikali ni uzalendo wa hali ya juu zaidi ya ule wa kupigania taifa lako vitani tena front line.
Umemaliza yote mkuu.

Hawa jamaa wanajivisha umungu mtu aisee
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom