Wanaoutaka urais 2015: Yupi anafaa?

Tuwe na katiba itakayomuwajibisha raisi, isiyompa madaraka makubwa, isiyompa kinga na anaweza kutolewa wakati wowote akitumia madaka vibaya. halafu tuone ni wangapi watakimbilia uraisi.
 
Tuwe na katiba itakayomuwajibisha raisi, isiyompa madaraka makubwa, isiyompa kinga na anaweza kutolewa wakati wowote akitumia madaka vibaya. halafu tuone ni wangapi watakimbilia uraisi.

Wazo zuri, lakini ukurasa huu tunahitaji kuwafahamu vizuri watu wanaotangaza nia za kugombea urais ili tuwachambue na kujua kama wanafaa au la. Na huu ni ukurasi wa Zitto. Kurasa za wengine, akina Membe, Lowasa, n.k. zitaanzishwa pia.
 
We! Usitufanye cc hatuna akili, utumbo wako kama huu peleka kilimanjaro, sio jf, umeckia? Kama huyo slaa mtu safi mbona kachamba/kafisadi milioni 140? Harafu ucpange eti fulani ajadiliwe, flani apitishwe tu, we, unafikili wote tunaakili ya kushikiwa kama ww? Kwanza ushakula?
 
Kumpa Zitto nchi 2015 ni bora kukubali tuendelee na huyu tuliyenaye mpaka 2050!! Maana badala ya kukanyaga mavi kama ilivyo sasa tutatumbukia chooni kabisa!!
 
Mimi nashauri tumshinikize huy rais aliyepo atimize ahadi zake na sisi tuendelee kuchapa kazi ikifika 2015 ndio tuanze kujadili wagombea. Sielewi kwa nini tujadili wagombea kwa miaka mitatu mizima, tena wengine waliojitangaza ni machizi kama Kisandu
 
Kwa hiyo unataka kuudhihirishia umma kuwa ni sawa kumpa mtu urais au kuwa na rais wasiyemfahamu ndani na nje? Jitafakari
We! Usitufanye cc hatuna akili, utumbo wako kama huu peleka kilimanjaro, sio jf, umeckia? Kama huyo slaa mtu safi mbona kachamba/kafisadi milioni 140? Harafu ucpange eti fulani ajadiliwe, flani apitishwe tu, we, unafikili wote tunaakili ya kushikiwa kama ww? Kwanza ushakula?
 
Ingekuwa busara kama waliotangaza nia wote wangefunguliwa kurasa ili pengine tuwachambue wote kwa pamoja ili kuleta usawa,kama hv mi simfahamu zitto kwa undan lakin ninayafahamu mengi ya Slaa na ningependa niyaweke kinaga ubaga na niseme tu mengi mabaya yanayomweka mbali na na kitu kinachoitwa sifa za mgombea bora wa urais,ngependa nipate fursa hii pia.
 
We! Usitufanye cc hatuna akili, utumbo wako kama huu peleka kilimanjaro, sio jf, umeckia? Kama huyo slaa mtu safi mbona kachamba/kafisadi milioni 140? Harafu ucpange eti fulani ajadiliwe, flani apitishwe tu, we, unafikili wote tunaakili ya kushikiwa kama ww? Kwanza ushakula?
gongo mbaya
 
sijakiona cha maana. sidhani kama hapo umemaliza kumchambua mgombea uraisi. mbona hoja nyepesi sana? labda tungoje uchambuzi wa wagombea wengine huenda nikaielewa akili yako inataka nini.
 
hivi wana jf kati ya hayo majina yote kuna mtu ambaye amefikia hatua ya kuwaongoza watanzania kwa kipindi cha miaka mitano uchaguzi utakapo malizika 2015?
Au ni nani mwenye sifa za kusimama na kuwa eleza watanzania kuwa akiwa raisi atatuletea maendeleo na kuwafungulia kesi mafisadi wote..au ambaye atakubali mdahalo na mgombea kutoka upinzani.
Kwa maoni yangu sijaona hata mmoja kwa sababu wote baba yao ni mmoja na mama yao ni mmoja...naona kama chadema wataingia ikulu bila vikwazo vya aina yeyote cha msingi ni wao kumteua mgombea ambaye atakubalika kwa watanzania na atakaye leta matumaini makubwa kwa watanzani.
 
Angalia kwa jicho la 3,ccm inamiliki hati ya nchi,na nchi inakopesheka,wako tayari kukopa mpk kiwango cha mwisho ili wactoke madarakani(wagawe rushwa hadi kwa watoto wa umri chini ya miaka18) Tuendeleeni kuwaelimisha wananchi tu kuhusu haki zao nakuwazuia kuuza haki zao kwa kipande cha khanga,
 
Hatujadili ni nani anayefaa kuwa Rais bali ni platform au taasisi gani itakayotoa mgombea bora kabisa.CCM si miongoni mwa taasisi bora katika hili
Tukiacha mambo mengine, Zitto anatufaa sana watanzania. Mambo mengine tuweke kando (uhasama).
 
We Mleta hii hoja hujamsikia Dkt Slaa mchana huu kwenye Thread iliyoanzishwa na 'gamba'kawakataza kujadili huu Upuuzi jengeni chama kuanzia ngazi ya shina badala ya kushinda humu kuanzisha habari za kujipendekeza. Mnakera sana kwa hili nipo pamoja na Babu!
 
We Mleta hii hoja hujamsikia Dkt Slaa mchana huu kwenye Thread iliyoanzishwa na 'gamba'kawakataza kujadili huu Upuuzi jengeni chama kuanzia ngazi ya shina badala ya kushinda humu kuanzisha habari za kujipendekeza. Mnakera sana kwa hili nipo pamoja na Babu!

Unajua hii ni haki ya kila mtu kuandika anacho jisikia..kwa hyo sioni kama ni kosa mimi kuandika habari kama hii hapa.
 
hivi wana jf kati ya hayo majina yote kuna mtu ambaye amefikia hatua ya kuwaongoza watanzania kwa kipindi cha miaka mitano uchaguzi utakapo malizika 2015?
Au ni nani mwenye sifa za kusimama na kuwa eleza watanzania kuwa akiwa raisi atatuletea maendeleo na kuwafungulia kesi mafisadi wote..au ambaye atakubali mdahalo na mgombea kutoka upinzani.
Kwa maoni yangu sijaona hata mmoja kwa sababu wote baba yao ni mmoja na mama yao ni mmoja...naona kama chadema wataingia ikulu bila vikwazo vya aina yeyote cha msingi ni wao kumteua mgombea ambaye atakubalika kwa watanzania na atakaye leta matumaini makubwa kwa watanzani.

hapo ni magufuli tu wengine wote hawafai
 
Tukiacha mambo mengine, Zitto anatufaa sana watanzania. Mambo mengine tuweke kando (uhasama).

Hizi nikiziita fikra mgando nitakua nimekukwaza.Soma post yangu hapo juu.Hatujadili watu,tunajadili taasisi

-Hatuchagui machifu au big brother Africa .

Tunachagua platform kiitikadi na kisera na platform hiyo imchague mgombea bora atakayesimamia sera na itikadi yake kupitia ilani ya uchaguzi atakayonadi na kuahidi kuisimamia.Anaweza kuwa yeyote ambaye platform inamuamini
 
Back
Top Bottom