Elections 2010 Wanaotaka Chadema ishinde Urais, Ubunge na Udiwani.. .. Waichangie!!!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Mbona wana CCM hawaoni aibu kuchangia chama chao na kuomba fedha kutoka kwa wananchi tena kwa mbwembwe zinazosindikizwa na wasanii wa kizazi kipya waliochakachuliwa?

Wengi wanaonesha wanataka Chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana CCM walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono Chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!


Ndio hayo kwa leo!
 
Namna ya kuchangia na account namba au kwa simu hizi hapa. kwenye tanzania daima ukurasa wa mbele zinapatikana
ACCOUNT NAMBA
CHADEMA NMB 2266600140

CHADEMA-M4C CRDB 01J1080100600

KWA NJIA YA SIMU

TUMA NENO CHADEMA KWENDA 15710 AU SLAA KWENDA 15710 KWA MITANDAO YA ZAIN VODACOM NA TIGO

AU KWA NJIA YA M-PESA KWENDA 0758 22 33 44 AU 0764 77 66 73

AU KWA ZAP KWENDA 0789 555 333
 

Attachments

  • namna ya kuchangia.JPG
    namna ya kuchangia.JPG
    129.7 KB · Views: 30
Mbona wana CCM hawaoni aibu kuchangia chama chao na kuomba fedha kutoka kwa wananchi tena kwa mbwembwe zinazosindikizwa na wasanii wa kizazi kipya waliochakachuliwa?

Wengi wanaonesha wanataka Chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana CCM walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono Chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!


Ndio hayo kwa leo!

Mzee Mwanakijiji,
Thanks for this initiative ya kutukumbusha,
Kusema ukweli ni muhimu kujitoa kwa moyo kuchangia for a good cause.
Asante tena kutukumbusha.
 
mbona wana ccm hawaoni aibu kuchangia chama chao na kuomba fedha kutoka kwa wananchi tena kwa mbwembwe zinazosindikizwa na wasanii wa kizazi kipya waliochakachuliwa?

Wengi wanaonesha wanataka chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana ccm walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!


Ndio hayo kwa leo!

sote tunaodai kutaka mabadiliko ni lazima tutake ownership of the process, kwa kila mmoja wetu kuplaya his.her part. Dr slaa anagombea urais, wapo wanaogombea ubunge, wapo wanaofanikisha na kuratibu shughuli za chama na sisi wengine tunatakiwa kuhakisha kuwa zinkuwepo resources za kufanikisha the process. Mbona harusi tunachangia sana au kwa sababu tutaendakula na kunywa kile tulikichangia?

laiti kama watu wote wanaojaa katika mikutano ya chadema na wale ambao wanaamini katika mabadiliko wangechangia shs 5,000 tu kila mwezi katika hii miezi miwili ya kampeni, nakuhakikshia ushindi kwetu ungekuwa dhahiri
 
  1. CHADEMA hawana account ya paypal????????? au ndiyo ile sheria mpya kwamba tulio nje ya nchi haturuhusiwi kuchangia. Mwenye kufahamu hili pls tujulishane.
 
Mbona wana CCM hawaoni aibu kuchangia chama chao na kuomba fedha kutoka kwa wananchi tena kwa mbwembwe zinazosindikizwa na wasanii wa kizazi kipya waliochakachuliwa?

Wengi wanaonesha wanataka Chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana CCM walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono Chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!


Ndio hayo kwa leo!


Heshima mbele Mkuu MMKJJ: Usemayo ni ukweli. Hata hivyo watu wanachangia sana isipokuwa tu labda niseme tofauti na CCM, uwezo wao mdogo. Wengi wa wale matajiri wakubwa hawako upande wa Chadema, wako upande wa CCM, na serikali ya CCM ina uwezoi namna ya kuwakamua wachangie. Sina haja kueleza inafanya vipi.

Sasa hii ya kuchangia Chadema kwa mwananchi mmoja mmoja haiwezi kuleta hela ya kushindana na CCM, chama ambacho ambacho kinaweza kuitisha fundraising pale Kempiski na mafisadi wakachangia mabilioni kwa masaa tu.

Na ndo maana chama kama Chadema (na iliwahi kutokea huko nyuma kwa NCCR) kinakazania kupata kura za urais zaidi kuliko za wabunge majimboni. Kuna sababu mbili:

Kwanza katika demokrasia za nchi za Kiafrika power iko Ikulu, mtu asikudanganye. Hebu fikiria -- iwapo Mrema angeshinda urais mwaka 1995 (pamoja na kupata wabunge wachache -- jee CCM ingekuwapo kama ilivyo leo?

Pili, hata kama Slaa hatashinda urais, lakini idadi ya kura anazoweza kupata, ukijumlisha na idadi ya wabunge na madiwani Chadema itakaopata itaweza kukihakikishia chama hicho mamilioni ya fedha kama ruzuku, fedha ambazo zinaweza kutumika kujiimarisha majimboni katika chaguzi zijazo, kama vile kuajiri makatibu wa kulipwa mishahara -- na siyo wa sasa wa kujitolea ambao ni rahisi kununuliwa na mapesa ya CCM.


 

Heshima mbele Mkuu MMKJJ: Usemayo ni ukweli. Hata hivyo watu wanachangia sana isipokuwa tu labda niseme tofauti na CCM, uwezo wao mdogo. Wengi wa wale matajiri wakubwa hawako upande wa Chadema, wako upande wa CCM, na serikali ya CCM ina uwezoi namna ya kuwakamua wachangie. Sina haja kueleza inafanya vipi.

Sasa hii ya kuchangia Chadema kwa mwananchi mmoja mmoja haiwezi kuleta hela ya kushindana na CCM, chama ambacho ambacho kinaweza kuitisha fundraising pale Kempiski na mafisadi wakachangia mabilioni kwa masaa tu.

Na ndo maana chama kama Chadema (na iliwahi kutokea huko nyuma kwa NCCR) kinakazania kupata kura za urais zaidi kuliko za wabunge majimboni. Kuna sababu mbili:

Kwanza katika demokrasia za nchi za Kiafrika power iko Ikulu, mtu asikudanganye. Hebu fikiria -- iwapo Mrema angeshinda urais mwaka 1995 (pamoja na kupata wabunge wachache -- jee CCM ingekuwapo kama ilivyo leo?

Pili, hata kama Slaa hatashinda urais, lakini idadi ya kura anazoweza kupata, ukijumlisha na idadi ya wabunge na madiwani Chadema itakaopata itaweza kukihakikishia chama hicho mamilioni ya fedha kama ruzuku, fedha ambazo zinaweza kutumika kujiimarisha majimboni katika chaguzi zijazo, kama vile kuajiri makatibu wa kulipwa mishahara -- na siyo wa sasa wa kujitolea ambao ni rahisi kununuliwa na mapesa ya CCM.



Hapo umenena mkuu
 
  1. CHADEMA hawana account ya paypal????????? au ndiyo ile sheria mpya kwamba tulio nje ya nchi haturuhusiwi kuchangia. Mwenye kufahamu hili pls tujulishane.

nadhani ipo njia. Ukiwa nje unaweza kutuma hela CRDB through Citibank na itafika kwenye akaunti husika. mimi nimekua nikipokea fedha toka nje through Citibank to my account in CRDB
 
Back
Top Bottom