Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mbona wana CCM hawaoni aibu kuchangia chama chao na kuomba fedha kutoka kwa wananchi tena kwa mbwembwe zinazosindikizwa na wasanii wa kizazi kipya waliochakachuliwa?
Wengi wanaonesha wanataka Chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana CCM walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono Chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!
Ndio hayo kwa leo!
Wengi wanaonesha wanataka Chadema ishinde, lakini ushindi una gharama au itashinda kwa kuombewa na kunuiwa na kungojewa? Ushindi hauji, unaletwa! Kama vile wana CCM walivyo na haki ya kukichangia chama chao na wagombea wao, kutoa muda na vipaji vyao, wale wanaounga mkono Chadema au chama kingine chochote na wao wawe tayari kuchangia na hapa nazungumzia fedha kidogo kilichopo chaweza kuwa ni badiliko kati ya ushindi na kushindwa!
Ndio hayo kwa leo!