Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 1,709
- 3,337
Tusamehe mkuu 🤣 😂Wabongo hamna dogo nyie kila uzi lazima masimango, kukosoa ndo kazi yenu, kupinga la mwenzenu ndo lenu nyie mnatakaje sasa. Hata mtu alete mchongo wa kazi au biashara lazima wapatikane wa kuleta fyongo. why? Kuna hata uzi wa afya mtu kajitolea kushare anachojua kusaidia wengne lakin sisi tunampiga majungu. Sijataja mtu ila wabongo jirekebisheni acha kila mtu awe na uhuru wa jambo lake na kama unaona halikufai au halitakusaidi pita kushoto kuliko kuharibia mtu uzi wake na ni watu mlio na akili za kutosha. Sasa leta mafyongo on this coment kama cjakutoboa macho na nikuvishe sketi saitan wewe. Sijataja mtu