Wacha wee... kutoka kwenye kuwa strategic airport na faida za utalii kutoonekana ndani ya muda mfupi, hadi kuwa alternative airport ya Mwanza?!Chato ni altenative airport ya Mwanza airport.
Kwenye masuala ya anga unapokuwa na Hub kwa maana ya uwanja mkubwa wa kimataifa ni lazima karibu yake uwepo uwanja wa akiba.
Dar ikiwa hub uwanja wa msaada ni Unguja.
KIA ikiwa ni hub Arusha ni alternative airport.
Mwanza unakwenda kuwa hub kwa maana ya uwanja mkubwa wa afrika mashariki hivyo Chato kiutalaam ni uwanja wa msaada kwani ni dakika kumi tu kutoka Mwanza Airport mpaka Chato Airport.
Kingine ni kwamba kule kuna mbuga za wanyama hivyo umuhimu wa uwanja ule upo kwenye utalii.
Nchi yetu imebarikiwa sana kulinganisha na tabia zetu za kulalamika hovyo mitandaoni. Miaka michache ijayo utaelewa maana ya hub ya Mwanza na Chato kuwa ni uwanja wa msaada.
Basi ngoja nikupuuze manake sina muda wa kujadili viroja!Natakiwa na Nani kujibu mada hiyo?! Kauli yako ni ya kidikteta...hapa JF hakuna kulazimishana...naweza nikaamua kucheka tu..naweza nikajibu ok..naweza nisijibu chochote...ambacho siruhusiwi ni matusi tu...
Dadangu kama una stress za kuletewa nyumba ndogo na mumeo, basi hizo stress zako tafuta kwa kuzipeleka, au kama vipi kamshitaki dawati la jinsia badala ya kuhangaika kurukia kila mwanaume utakayemuona!Halima umejitahidi sana kujitetea. Lakini umechelewa.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
It is better....siyo mnakurupuka humu na kulazimisha watu wafanye mnayotaka ninyi...Basi ngoja nikupuuze manake sina muda wa kujadili viroja!
NONSENSE!!It is better....siyo mnakurupuka humu na kulazimisha watu wafanye mnayotaka ninyi...
Umejuaje kwamba Halima Mdee ni msagaji?!Pamoja na kutetea msagaji, yatosha sasa aendelee na shughuli nyingine. Kawe imetwaliwa mikononi mwake na kupewa Jirani yake bishop Gwajima.