Ashajua nyiny hamjui kitu mnafuata tu mkumbo rejea ile kujenga na kununua kwa pesa zetu nilicheka sn angekuwa nch zilizostarabika anheshapigwa na mayai vizaNi jambo la ajabu na aibu kubwa kuwa na Rais anayesema uongo hadharani kuwataja wabunge hasa wa upinzani kuwa ndio wanakula pesa za mfuko wa jimbo wakati anafahamu kuwa sheria haina nafasi kwa mbunge kutumia pesa hizo.
Rais Magufuli kwa kweli hatufai kabisa maana amekuwa msema uongo bila hata aibu hadharani.
Kwa nini ni muongo hivi?