Wanaoshabikia VETA hawaujui mfumo wa elimu Tanzania

Wanaoshabikia VETA hawaujui mfumo wa elimu Tanzania

Viongozi wetu hawana maarifa ya kukabiliana na matatizo tuliyonayo, haya matamko yao ni blah blah tu
Tatizo hili la kua na viongozi wasiojua mlango wa kutokea wanachojua ni mlango wa kuingilia tu
 
Veta ni level 1,2,3.
Ukitoka hapo unakuja level 4,5,6 ambapo ni diploma.
Ukimaliza hapo ni level 7 and 8 ambayo degree.
Sasa utoke uje chini?
Ukisoma kiwango cha Shahada ya Kwanza, Umahiri (Masters), Uzamivu (PhD) na kuendelea haikufungi kusomea ujuzi walau ngazi ya cheti au chini ya hapo. Ni kwa sababu tulishakaririshwa elimu ni vyeti Tena kuanzia chini kwenda juu na kiasi kwamba huruhusiwi kurudi chini (e.g mwenye shahada kusomea certificate flani)
 
Kwahiyo wenye degree za ualimu ni wataalamu wa Veta wako level 7,8, au sio? Uelewi wanaongelea ujuzi sio vyeti mkuu.
Ujuzi wa Veta umegawanyika,Veta hupati ujuzi bila cheti..labda iwe Veta ya vichochoroni...
Pitia vizuri Miongozo yao.
Tumepita huko,hata iwe basics,,,

Anachosema mleta mada,siku karibu kwenda kusoma post za ajira portal kule..hata watake fundi cherehani usidanganywe wana level zao ,Bomba,Dhobi,Mpishi,Umeme,
Kila kitu kipo kwa mpangilio kule.

Sisi tunachukulia ujuzi kama kunya porini tu unaibuka kichakani na jani mkononi.

Na huo uju,i hauko bure inategemea na kila Veta ya Mkoa gani.
 
Uelewe mfumo wa elimu ya juubhapa nchini, degree ni NTA Level 8, kama ilivoelezwa hapo. Zaidi sana, Ualimu ni ujuzi pia.
Ualimu ni profession sio skills, tofautisha skilled manpower en professional man Power.
 
Uelewe mfumo wa elimu ya juubhapa nchini, degree ni NTA Level 8, kama ilivoelezwa hapo. Zaidi sana, Ualimu ni ujuzi pia.
Watoto wadogo wanao Veta ni kisehemu tu.
Tumeanza driving basics,mpaka tulikofikia kuendesha gari kiserikali sio kitu cha kuibuka tu.

-Tanesco hawachuki tu eti umekuwa na ujuzi wa Umeme,je level ipi?

-Idara ya maji una ujuzi wa maji,je level ipi?
-Cherehani watu wanaiona poa poa,kuna level zake kule.

Mavitu kibao ya VETA lazima uchutame😀😀😀
Kwa kifupi unaweza kuwa na Degree ya Computer,ukawa kichaa ukasomee tena basics zake huo ni kukosa akili.
Fanya tofauti na ulichosomea,ukitaka kwenda mbali zaidi ndiko unaibukia level ya degree husika ya ujuzi.
 
Veta ni level 1,2,3.
Ukitoka hapo unakuja level 4,5,6 ambapo ni diploma.
Ukimaliza hapo ni level 7 and 8 ambayo degree.
Sasa utoke uje chini?
Mimi nimeshasema sina muda wakwenda VETA kama nikupoteza muda nimeshapotezewa vyakutosha ,nitaendelea kusota mtaani until the end of my lifee ,kwa muda niliopotezewa kuanzia Primary miaka 7 , O-Level miaka 4 , A-Level miaka 2 ,Jkt miezi 3 na chuo kikuu miaka 3 ,JUMLA YA MIAKA 16 nimesema IMETOSHA , sipo tayari kuendelea kupotezewa muda wangu, nimeamua kuoa nakuanza familia huku nikijiwekeza kwenye kilimo ,hizo million wanazonidai wajipange ,labda wanipe kazi ndo walipwe.
 
Badala ya kureview mitaala wao wanakuja na soln za leo leo
Wao wanachojali ni kurudisha pesa zao walizojengea yale majengo wameona asilimia kubwa vijana wapo tu mtaani ajira hawataki kuwapa basi solution ni kuwasukumia Veta ili waendelee kuwakomba Ada zao na wakishamaliza mitaji hawawapi wanabakia tena mtaani km sio uzuzu ni nini? Au wao wanafikiri wakijiunga Veta wakimaliza kusoma hizo pesa za kujiajiri wanatoa wapi?
 
Back
Top Bottom