Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi - 2

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi - 2

Wanaosema Mungu yupo ndio wakaidi.

1. Wanalazimisha Mungu yupo. Bila uthibitisho. Huo ni ukaidi.

2. Wanalazimisha wengine waamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.

3. Wanasema Mungu wao ana majibu yote, wakidharau vyanzo vingine. Huo ninl ukaidi.

4. Wanajiona wana hatimiliki ya mbingu kwa kupitia Mungu wao. Huo ni ukaidi.

5.Wanawanyanyapaa wasiomuamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.

Hebu jikite kwenye mada, acha kuongeza pekeyako.

Hapa tunaangazia udhaifu wa hii hoja kuwa ulimwengu umetokana na nature.

Au wewe unahoja tofauti na hiyo?

Halafu wapi nimekulazimisha kuamini mungu yupo?

Mtu halazimishwi kuami ila anabainishiwa haki, Kisha achague mwenyewe kuamini au kukadhibisha(kupinga).

Hapa ninakuonyesha ukaidi wako kwa sababu ulishapinga, na wala sikulazimishi kuamini.
 
Hebu jikite kwenye mada, acha kuongeza pekeyako.

Hapa tunaangazia udhaifu wa hii hoja kuwa ulimwengu umetokana na nature.

Au wewe unahoja tofauti na hiyo?

Halafu wapi nimekulazimisha kuamini mungu yupo?

Mtu halazimishwi kuami ila anabainishiwa haki, Kisha achague mwenyewe kuamini au kukadhibisha(kupinga).

Hapa ninakuonyesha ukaidi wako kwa sababu ulishapinga, na wala sikulazimishi kuamini.
Unaondoa kauli ya heading ya uzi kwamba wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi?

Wewe unayelazimisha uwepo wa Mungu ambaye huwezi kuthibitisha uwepo wake si mkaidi?

Thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Na kama kila lenye complex order linahitaji muumbaji basi akili complex kama ya mungu yenye uwezo wa ku design ulimwengu na yenyewe itahitaji muumbaji hivyo atalazimika kueleza aliemuumba mungu ni nani
Mbona bado hatujaanza habari za Mungu, hapa tunaangazia udhaifu wa hii hoja kuwa ulimwengu umetokana na nature.

Msianze kufarijiana wakati mmeshindwa kujibu hoja.

Nimeuliza nature inaakili?

Sasa badala ya kujibu hoja unaanza kumjadili mungu, au unaamini kuwa yupo?
 
Unaondoa kauli ya heading ya uzi kwamba wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi?

Wewe unayelazimisha uwepo wa Mungu ambaye huwezi kuthibitisha uwepo wake si mkaidi?

Thibitisha huyo Mungu yupo.
Kwahiyo umeshakubali kuwa ulimwengu haujatokana na nature?

Ndio maana unataka uthibitisho wa uwepo wa mungu ambaye mimi nasema yupo?
 
Mbona hatujamfikia mungu usiwe na pupa, kama umeelewa nilichoandika

Basi kaa kwa kutulia nikianza kueleza habari za Mungu ndio ulete hili swali.

Kwa sasa tunatangazia udhaifu wa hii hoja kuwa ulimwengu umetokana nature.

Nadhani tunaenda sambamba.
Typical of you...unakimbia mjadala
 
Typical of you...unakimbia mjadala
Hii ni sehemu ya 2

Hivyo kama huna swali hapa, maana yake, unakubaliana na hizo hoja hapo juu au umeshindwa kuzijibu.

Basi subiri sehemu ya 3.

Na kama hukubalianinazo basi zipinge kulingana na nilichokiandika.
 
Wanaosema Mungu yupo ndio wakaidi.

1. Wanalazimisha Mungu yupo. Bila uthibitisho. Huo ni ukaidi.

2. Wanalazimisha wengine waamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.

3. Wanasema Mungu wao ana majibu yote, wakidharau vyanzo vingine. Huo ninl ukaidi.

4. Wanajiona wana hatimiliki ya mbingu kwa kupitia Mungu wao. Huo ni ukaidi.

5.Wanawanyanyapaa wasiomuamini Mungu wao. Huo ni ukaidi.
Hivi ni lini utakubali Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni lini utakubali Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweza kuthibitisha kwa namna ambayo haina logical inconsistency wala contradiction, hata leo nakubali.

Sasa, mtu anakupa kitabu chake, kinasema eti kuna watu Mungu kawaziba macho, masikio na mioyo wasimjue. Halafu atawahukumu kwa moto wa milele, kwa sababu hawajamjua.

Yani, Mungu huyohuyo anakuzuia usimjue, halafu, anakuhukumu motoni milele, kwa sababu hujamjua.

Halafu unaambiwa huyo ni Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Kimantiki hivi wewe unaweza kukubali huyo Mungu yupo?
 
Kwahiyo umeshakubali kuwa ulimwengu haujatokana na nature?

Ndio maana unataka uthibitisho wa uwepo wa mungu ambaye mimi nasema yupo?
Nature ni nini?

Thibitisha Mungu yupo.
 
Ukiweza kuthibitisha kwa namna ambayo haina logical inconsistency wala contradiction, hata leo nakubali.

Sasa, mtu anakupa kitabu chake, kinasema eti kuna watu Mungu kawaziba macho, masikio na mioyo wasimjue. Halafu atawahukumu kwa moto wa milele, kwa sababu hawajamjua.

Yani, Mungu huyohuyo anakuzuia usimjue, halafu, anakuhukumu motoni milele, kwa sababu hujamjua.

Halafu unaambiwa huyo ni Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Kimantiki hivi wewe unaweza kukubali huyo Mungu yupo?
Nakubali yupo ndio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye Mungu alitoka wapi!?
Ahsante kwa swali zuri, kwa waliosoma sifa za MUNGU wa imani zenye chimbuko la NABII IBRAHIM au ABRAHAM ambao ni WAKRISTO, WAISLAMU na WAYAHUDI wanafahamu wazi kwamba hili swali ni INVALID - ILLEGITIMATE, kwa nini? kwa kwa sababu MUNGU wao haelezeki kwa muda, MUNGU wetu ni wa mwanzo "alpha = al awwal" na wa mwisho "omega = al akhir", hana mwanzo wala mwisho, ushauri: soma sana majina na sifa za MUNGU: maswali mengi sana ya aina hiyo yanajibika

Ziada: fahamu kwamba vipawa vya mwanadamu havitoshelezi kumuelewa na kumtambua MWENYEZI MUNGU kwa 100%, je ni kwa nini? ni kwa sababu utashi tuliopewa wanadamu una ukomo katika baadhi ya mambo na hususani mambo ya imani, naamini wengi wetu tunajua nini maana ya imani, hivyo kwa upeo wetu wenye kikomo, imani zetu haba na ukosefu wa maarifa sahihi na ya kutosha baadhi ya mambo kamwe hutoweza kuyachambua kwa akili yako na ukapata clue, fahamu hilo na liweke akilini

Uliyeuliza hilo swali, yaonyesha unaifahamu sana nadharia ya muda, naomba nielezee nadharia ya "muda kwa mapana yake" tafadhali na hakikisha naelewa kwa 100%, ahsante
 
Back
Top Bottom