Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Wanaopinga Ushoga, Wanapinga nini Haswa?

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,236
Reaction score
14,874
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?

Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?

Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?

Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
 
Duh!
Tatizo wanaogopa Ikialalishwa Mtajitokeza Hadharani na soon mtaanza kudai haki ya Kuoa na Kuoana then watoto manze kuadapt.

Hakika Mungu Hapendi.

Kwani unafikiri Mungu hatambui uwepo wa Shetani? Anajua ila ameamua kumuacha ili iwe mtihani kwetu na sio kuwa anashindwa kumtokomeza akiamua ni dakika chache shetani anapotea.
 
Duh!
Tatizo wanaogopa Ikialalishwa Mtajitokeza Hadharani na soon mtaanza kudai haki ya Kuoa na Kuoana then watoto manze kuadapt.

Hakika Mungu Hapendi.

Kwani unafikiri Mungu hatambui uwepo wa Shetani? Anajua ila ameamua kumuacha ili iwe mtihani kwetu na sio kuwa anashindwa kumtokomeza akiamua ni dakika chache shetani anapotea.


Kwa hiyo kinachopingwa ni kuhalalishwa tu, siyo?
 
wanachopinga ni kufanya ushoga kuwa halali na kufanya mambo yao dhahiri zaidi kuliko ilivyo sasa , wakadai kwenda kusajili ndoa zao , kulea watoto - kufanya ushoga kuwa ni kitu cha kujivunia na kuwa cha kawaida na cha kimaendeleo - sababu wakina Cameron na Obama wanakisapoti ! Huu ni uchafu si siku cha kawaida lakini ikiwa watafanya kwa kujificha na kuona kua ni kitu cha aibu hiyo juu yao lakini isivuke MIPAKA iliopo sasa
 
Duh!
Tatizo wanaogopa Ikialalishwa Mtajitokeza Hadharani na soon mtaanza kudai haki ya Kuoa na Kuoana then watoto manze kuadapt.

Hakika Mungu Hapendi.

Kwani unafikiri Mungu hatambui uwepo wa Shetani? Anajua ila ameamua kumuacha ili iwe mtihani kwetu na sio kuwa anashindwa kumtokomeza akiamua ni dakika chache shetani anapotea.

Safi sana anatakiwa ajue kuwa hata shetani kapewa limit hajaachiwa huru kama hawa mashoga wanavyotaka. Wao wanaufurahia huu mchezo wa kuchezewa makalio yao pamoja na mindevu yao na vifua vyao vipana.
 
wanachopinga ni kufanya ushoga kuwa halali na kufanya mambo yao dhahiri zaidi kuliko ilivyo sasa , wakadai kwenda kusajili ndoa zao , kulea watoto - kufanya ushoga kuwa ni kitu cha kujivunia na kuwa cha kawaida na cha kimaendeleo - sababu wakina Cameron na Obama wanakisapoti ! Huu ni uchafu si siku cha kawaida lakini ikiwa watafanya kwa kujificha na kuona kua ni kitu cha aibu hiyo juu yao lakini isivuke MIPAKA iliopo sasa


Asante, umeeleza Vizuri na nimekuelewa! Kwani hili lilikuwa linanitatiza Kidogo!
 
Kabla sijaanza kukushushia kipondo nataka kujua jee na wewe ni miongoni mwa mashoga au ni mtetezi wao?
 
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi? Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa? Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi? Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!

kuwepo kwa watu wanaoshindwa kutekeleza wajibu wao wa kuzuia jambo hili hakuhalalishi jambo lenyewe sababu kama ni hivyo mbona majambazi wapo pia mtaani mbona hatuhalalishi vitendo vyao. Hawa wanaleta ujinga wao sababu hakuna sheria kama ya Uganda inayowabana kisawasawa.
 
Kabla sijaanza kukushushia kipondo nataka kujua jee na wewe ni miongoni mwa mashoga au ni mtetezi wao?

Soma Vizuri na Uelewe nilichoandika Kwanza, kabla ya kuanza kuandika!
 
Naunga mkono alielezea, ila nyongeza ni kwamba endapo itahalalishwa, hata kama wewe si shoga ni haki kwa mtu mwingine kukutaka ima akuoe na huwezi kushtaki kwa kukudhalilishwa. Na pia wakihalalisha kutakuwa tena hakuna eti mme amemwingilia mke kinyume na maumbile amemdhalilisha. Hii ni laana Mwenyezimungu atuepushe mbali.
 
Naunga mkono alielezea, ila nyongeza ni kwamba endapo itahalalishwa, hata kama wewe si shoga ni haki kwa mtu mwingine kukutaka ima akuoe na huwezi kushtaki kwa kukudhalilishwa. Na pia wakihalalisha kutakuwa tena hakuna eti mme amemwingilia mke kinyume na maumbile amemdhalilisha. Hii ni laana Mwenyezimungu atuepushe mbali.

Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kama vile ukahaba, kwamba Kisheria hauruhusiwi lkn kila mtu anajua mpaka Watoto wadogo kwamba Makahaba wapo na wanajiuza Kila Mahali, ingawaje ni Kinyume Cha Sheria, kama ilivyo kwa Mashoga kwamba wapo wengi tu mpaka Baa zao zipo zinajulikana, Watoto wadogo ukiwaliza wakutajie Mashoga walipo watakutajia bila Shida, na wakipita Mitaani wanaitwa na watoto wadogo anti fulani, watu tunacheeka... sema tu Tusihalalishe Kisheria, ndio Hoja yetu, kama nimekuelewa vizuri...
 
Mungu anasema "Kama mwanaume akikutana kimwili na mwanaume mwenzake kama vile mwanaume afanyavyo na mwanamke, wanaume hao wawili wamefanya lililo chukizo SANA. Lazima wauawe" (walawi 20:13)

HAO NI WATU WA SHETANI NA WAMEJAA MAPEPO YA KILA AINA". KUWAACHA WATU KAMA HAO NI KAMA KURUHUSU MAPEPO YAWE NA HAKI ZAO.
 
Mungu anasema "Kama mwanaume akikutana kimwili na mwanaume mwenzake kama vile mwanaume afanyavyo na mwanamke, wanaume hao wawili wamefanya lililo chukizo SANA. Lazima wauawe" (walawi 20:13)

HAO NI WATU WA SHETANI NA WAMEJAA MAPEPO YA KILA AINA". KUWAACHA WATU KAMA HAO NI KAMA KURUHUSU MAPEPO YAWE NA HAKI ZAO.

Halafu unajiita String theorist, Sidhani hata kama umeielewa string theory labda umependezwa na jina Tu!
 

Halafu unajiita String theorist, Sidhani hata kama umeielewa string theory labda umependezwa na jina Tu!

Kwa response hii unajionyesha dhahiri ni ama mtetezi wa ushoga au tayari unajihusisha/mdau wa kitendo hiki cha kifedhuri na machukizo mbele za MUNGU.
Usipendelee kuleta nyuzi na namna hii humu jamvini mashoga hawana nafasi.
 
Kwa response hii unajionyesha dhahiri ni ama mtetezi wa ushoga au tayari unajihusisha/mdau wa kitendo hiki cha kifedhuri na machukizo mbele za MUNGU.
Usipendelee kuleta nyuzi na namna hii humu jamvini mashoga hawana nafasi.

Tatito hauelewi String Theory ni nini, ndio maana unakurupuka, ngoja nikupe Mwanga String theory ni ni Moja kati ya Matawi Mapya ya Fizikia na wala haihusiani na Ushoga, bali inajaribu kuelezea kuhusu Ulimwengu, yaani umetokana na nini, wanajaribu kutafuta Majibu ya Maswali kama kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi...

 
Hivi wewe kwa akili yako unaona ni sahihi kwa mwanaume mmoja kubong'oa na mwingine kuingiza uume wake kwenye tundu la kutolea mavi la mwingine???

Kama unaona ni sawa na unashindwa kutuelewa wale tunaokemea huu ufirauni basi anza nawe kuwabong'olea wenzako waharibu heshima ya makalio yako.
 
Hivi wewe kwa akili yako unaona ni sahihi kwa mwanaume mmoja kubong'oa na mwingine kuingiza uume wake kwenye tundu la kutolea mavi la mwingine???

Kama unaona ni sawa na unashindwa kutuelewa wale tunaokemea huu ufirauni basi anza nawe kuwabong'olea wenzako waharibu heshima ya makalio yako.

Tatizo unahamaki, inaelekea una Hasira sana, angalia usije ukajiua Tu, Siku Ushoga ukibisha Hodi Nyumbani kwako!
 
Pia mimi nadhani hawa wanaokubali ushoga lazima wawe mashoga kwa namna moja ua nyingine. Na laana iwashukie mpaka watakapoacha uchafu huu. Angalia hata hao mashoga waliotajwa lazima ima wapake wanja,sauti iwe ya kike,kutembea kikekike na kamwe hawabaki na uwanaume wao kamili.
 
Kabla sijaanza kukushushia kipondo nataka kujua jee na wewe ni miongoni mwa mashoga au ni mtetezi wao?
mimi pia maelezo yake yananitatanisha kweli kama nahisi kale kahalufu,ni kweli atuambie ukweli kwanza .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom