Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji wote tukutane hapa

abelexpeditor

Member
Jan 27, 2017
67
30
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa tusivyo vijua, unataka tujiunge ili kufanya iyo kazi au ukitaka kikundi kilicho tayari ujiunge Karibuni Sana.
 
Mimi nimewai kukifanya hiki kilimo kwa zao la nyanya niulizeni chochote kasoro bei ya hizo drip sababu bei yake ndo siijui
Na vp kuhusu kilimo cha vitunguu
Labda kwa haka moja unaweza kutumia gharama kiasi gain na uvunaji wake unakuaje unaweza vuna kiasi gani
Lakini Mimi sijawai kulima ata Mara moja ila napenda sana
Na pia kama unaweza kuwa na idea mahali gani pazur kwa kilimo iki
 
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa tusivyo vijua, unataka tujiunge ili kufanya iyo kazi au ukitaka kikundi kilicho tayari ujiunge Karibuni Sana.
Natafuta mtaalamu wa kilimo bustan namna ya kupata mazao mengi ktk ardhi 49 sq meter dsm
 
Kwa ekari moja ya shamba, lets say tikiti, ambalo mashimo yametengana kwa wastani wa 1.5m ukitaka kutumia drip system inaweza kugharimu kiasi gani installation yake?
 
Nimeagiza mbegu za mapapai ya kisasa natagemea kuanza kulima hivi karibuni. nitaotesha miche kama 300 hivi naomba kujua kufunga hiyo drip system itagharimu kiasi gani. niko dsm
 
Back
Top Bottom