VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Hivi, kwa nini watu wanaomuamini Mungu wakisoma posts za wasioamini katika uwepo wake, wanaumia na kuona kama kuna viumbe hawana akili.
Wakati huo huo, wasiomuamini huyo Mungu, wanawaona wenzao kama kawaida, wenye haki ya kuamini wanachokitaka, bila kejeri na matusi kama ya wana wa Mungu?
Mungu wa wanaomuamini yawezekana hana heshima na yeye ndo wanajifunza huko!!!!
Wakati huo huo, wasioamini wengine wana maisha mazuri kuliko wanaoamini na kuabudu, wenzetu wanaoamini, Mungu wao kama mbaguzi na anawajali wasiomuamini, iweje waandame wasioamini? Si hiari yao?
Wakati huo huo, wasiomuamini huyo Mungu, wanawaona wenzao kama kawaida, wenye haki ya kuamini wanachokitaka, bila kejeri na matusi kama ya wana wa Mungu?
Mungu wa wanaomuamini yawezekana hana heshima na yeye ndo wanajifunza huko!!!!
Wakati huo huo, wasioamini wengine wana maisha mazuri kuliko wanaoamini na kuabudu, wenzetu wanaoamini, Mungu wao kama mbaguzi na anawajali wasiomuamini, iweje waandame wasioamini? Si hiari yao?