Wanaonata baada ya kupata pesa

Wanaonata baada ya kupata pesa

~Tafuta hela kijana acha kulalamika,mwenye pesa sio mwenzio kama ulitaka yeye ndio aanze kukusalimia imekula kwako,kama kakuzidi pesa mpe heshima yake ndio maisha yanavyoenda,mtumikie kafiri upate mtaji wako usepe ukishindana nae utaumia,watu wenye pesa wengi wao wanapenda kunyenyekewa,ukiwa kiburi utakula jeuri yako.
 
Unakuta mtu anaishi na kuwa mahusiano na watu kama kawaida lakini baada ya kupata nafuu ya ugumu wa maisha kwa kupata fedha kutokana na ajira au biashara basi ghafla anaanza majidai na kunata.

Wengine anadiriki eti kakusahau au anakununia na hata kukuonyesha roho mbaya,hivi hii hali inatokana na nini?

mfano ni Diamond platinum
 
~Tafuta hela kijana acha kulalamika,mwenye pesa sio mwenzio kama ulitaka yeye ndio aanze kukusalimia imekula kwako,kama kakuzidi pesa mpe heshima yake ndio maisha yanavyoenda,mtumikie kafiri upate mtaji wako usepe ukishindana nae utaumia,watu wenye pesa wengi wao wanapenda kunyenyekewa,ukiwa kiburi utakula jeuri yako.
king mwenye hela bwana c mwenzako. Huoni walivyokudhulum viwanja kigambon hao mafisad. Ukaamua kusepa minjingu kwenda kuchoma mkaa
 
Ni kwa sababu ya umaskin wa wengi bongo hata ukipata milion 5 za mkopo show of ni kubwa hadi watu wanajishutukizia nakudai unaringa. Wengi ni chenji tu halaf haina guarantee
 
Boss hanuniwi, yeyote akipata pesa lazima abadilike haijalishi historia yake iko.
 
Kuna jamaa alishinda bahati nasibu uingereza paundi milion 16 mwaka wa 2004. Akawa anagawa hela hovyo kwa marafiki ili awafurahishe. Wengine hadi aliwanunulia ferari nåkuwapeleka vacation visiwa vya Maldives. Sasa iv hoi anapumulia tigo. Hana hata centi anaishi kwenye nyumba ya council. Marafik aliyewafurahisha wamemkana na kibaya wanamcheka. Alipohojiwa nå gazet la daily mail ikitokea ashinde Tena bahati nasibu akajibu ataenda mbali Australia nå kujichimbia huko nå kamwe hatamuamin mtu kwenye hela nå atakuwa katil.
 
Kapata pesa?
Na wewe piga kazi upate pesa zaidi yake.!
 
Tatizo lenu wabongo mnapiga sana mizinga ndio maana mabillionea tunawachuniaga tu........ tukiwa kwenye magari yetu tunafunga vioo mpaka juu.....na tukiwa kitaa ni miwani ya tinted......
 
~Tafuta hela kijana acha kulalamika,mwenye pesa sio mwenzio kama ulitaka yeye ndio aanze kukusalimia imekula kwako,kama kakuzidi pesa mpe heshima yake ndio maisha yanavyoenda,mtumikie kafiri upate mtaji wako usepe ukishindana nae utaumia,watu wenye pesa wengi wao wanapenda kunyenyekewa,ukiwa kiburi utakula jeuri yako.
Kweli mkuu wabongo noma sana.....wakati una taabika wanakuona kama mavi tu.....Mambo yakikaa sawa utawaona wanajisogeza na kujifanya wanakujua na kukuzoea kwa sana........kumbe SNITCH
 
Tatizo lenu wabongo mnapiga sana mizinga ndio maana mabillionea tunawachuniaga tu........ tukiwa kwenye magari yetu tunafunga vioo mpaka juu.....na tukiwa kitaa ni miwani ya tinted......
nimeipenda hii. Yan cc wabongo kwa mizinga tu
 
Ni kujihami self defence. Binadam ni hatar sana hasa wabongo ukupiga hatua maishani ghafla. Sema ni sheria tu lasivyo unachinjwa kweupe. Hakuna ambaye atakupenda kwa dhati ni unafiki tu. Kuwa mkali na leta hofu kwa watu wasikuzoee. Hata ukifa ama ukifiwa wasuse kuja kwenye msiba wako wapotezee. Eti bongo kuuzuria msiba na kugawa Hela na ofa et kipimo una roho nzur. Ni bora umchekee nyani kuliko mbongo mwenzako utavuna hasara na aibu. Chezea muafrika mweus wewe. Nyambaff zetu!!!

Shikamoo
 
Kweli mkuu wabongo noma sana.....wakati una taabika wanakuona kama mavi tu.....Mambo yakikaa sawa utawaona wanajisogeza na kujifanya wanakujua na kukuzoea kwa sana........kumbe SNITCH

Mtoa mada atakuwa kanyimwa hela tu,we unadhani hao matajiri fedha zao hazina mipango? Angekuwa mtoa wa kutoatoa tu asingepata hizo pesa.
 
Wakati mwingine mnawasingizia tu wenye fedha. Mtu ukipata fedha lazima ubize uongezeke maana pesa inakutuma. Sasa wewe unataka tuje tukae kijiweni kama nlivyokuwa sina activities? Haiwezekani.
 
Hivi kunata ama kuring kunapimwaje? Manake unajua lazima mtu awe anabadilika kila wakati kulingana na maisha aliyonayo. Kwa sasa unaweza kusahau watu ama vitu (kama kurudisha missed calls etc) kutokana na kuzongwa na mambo na msongo wa mawazo utokanao na majukumu. Lakini unaweza usimuone mtu njiani kwa sababu pia unawaza mbali. Kama zamani nilikuwa na nafasi ya kusoma novel yenye kurasa 600+ kwa siku mbili tu, sasa kitabu cha kurasa 300 nasoma miezi sita. Sio kwa starehe, ila shida zimenizonga. Nitakuwa nanatia kitabu (ni mfano tu).

Wakati unasoma chuo uko idle ni rahisi kwenda kwa mjomba kila wikiendi. Sasa una kazi, unafuga kuku mpiji magohe na unalima mananasi kiwangwa (ili uchangie matibabu na harusi za mtoto wa huyo huyo mjomba, na kadhalika zote na ulipe ada za wanao na kununua gari zuri). Usipoenda kila wikiendi kumsalimia unanata ama ni majukumu yamekuzonga na ukisikia mjomba anaumwa unaenda kumsalimia walau kwa nusu saa na kumuachia posho kidogo?

Uswahili huwa unachosha sana aisee, daah

Cc snowhite, nimekumiss na sio kama nanata jamani. Nimezongwaaaaaa!:israel::israel:
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa alishinda bahati nasibu uingereza paundi milion 16 mwaka wa 2004. Akawa anagawa hela hovyo kwa marafiki ili awafurahishe. Wengine hadi aliwanunulia ferari nåkuwapeleka vacation visiwa vya Maldives. Sasa iv hoi anapumulia tigo. Hana hata centi anaishi kwenye nyumba ya council. Marafik aliyewafurahisha wamemkana na kibaya wanamcheka. Alipohojiwa nå gazet la daily mail ikitokea ashinde Tena bahati nasibu akajibu ataenda mbali Australia nå kujichimbia huko nå kamwe hatamuamin mtu kwenye hela nå atakuwa katil.

Hii nimeipenda+imenipa somo.
 
Back
Top Bottom