King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,980
kwanza ni kitu gani kinakuambia mtu ana fedha? Gari analoendesha (ambalo lina mkopo anadaiwa hadi kwa mangi bill ya dona), mavazi yake (hahaha mikopo ya blauzi na handbags huko maofisini ni aibu tupu), au dhahabu (mchina katurahisishia wala kama ni feki ama yenyewe mnaweza msijue ).
Yaani mtu anakutembelea siku moja unamfurahisha kwa kukwangua mfuko halafu anataka mgawane hizo bata?
Kwani yeye kinachomfanya asiwe na hela ni nini kwa mfano??
Yaani mtu anakutembelea siku moja unamfurahisha kwa kukwangua mfuko halafu anataka mgawane hizo bata?
Kwani yeye kinachomfanya asiwe na hela ni nini kwa mfano??
Wakati mwingine mnawasingizia tu wenye fedha. Mtu ukipata fedha lazima ubize uongezeke maana pesa inakutuma. Sasa wewe unataka tuje tukae kijiweni kama nlivyokuwa sina activities? Haiwezekani.