Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,333
Ulitakaje kati ya muda na gani?ilitakiwa idumu muda gani?
Ulitakaje kati ya muda na gani?ilitakiwa idumu muda gani?
Kama muda wa Ebolailitakiwa idumu muda gani?
Halafu wengi wao wameajiriwa wanalipwa mshaharaSijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.
Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.
Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.
Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.
Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!
Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea, kupiga madili na kufanya ujanja ujanja.
Ahsante.
Jipake pilipili machoni kwanza.Ndio.
Muda wa ebola ndio ngapi?Kama muda wa Ebola
Na wana vyeti feki.Halafu wengi wao wameajiriwa wanalipwa mshahara
Hilo ulitaka lizifunge akili zao?Halafu wengi wao wameajiriwa wanalipwa mshahara
Nipe.Jipake pilipili machoni kwanza.
Huo unaotumika kudhibitiwa.Muda wa ebola ndio ngapi?
Kuna tofauti na PhD ya kubumba.Na wana vyeti feki.
Usipende kupewapewa.Nipe.
Upi?Huo unaotumika kudhibitiwa.
Usipende kugawa gawa.Usipende kupewapewa.
Kwani muda ulitumika kuidhibiti Corona?Upi?
Sijui.Kwani muda ulitumika kuidhibiti Corona?
Mimi nagawa mimba tu kwa warembo.Usipende kugawa gawa.
Fisadi moja linamiliki ID's ishirini.
Angalia usigawe uroda kama ulivyogawa juzi.Mimi nagawa mimba tu kwa warembo.
Uthibitisho upi?Weka uthibitisho.