Wanaomkosoa Magufuli wako mtandaoni tu

Wanaomkosoa Magufuli wako mtandaoni tu

Unanipa wasiwasi kwa maswali unayouliza.
Mtafute dogo pembeni yako akujibie hilo swali?
Hujui kitu wewe umejawa na mihemko , kusifu na kuabudu. Usichokijua ni kuwa sijakuiliza kwa sababu sijui!
Kighoma Ally malima aliuwawa enzi za mwinyi na watu waliandika na kuandiK hakuna aliyekuja mbele na kudai apewe ushahidi juu ya tukio lile na uhusiK wa utwala wa mwinyi,
Sokoine, ulimboka nk.
Unataka tukupe ushahidi gani kama wazir wq serikali alishajibu kwamba wqhisika waliuwawa?
 
Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.

Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.

Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.

Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.

Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!

Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea na kufanya janja janja.

Ahsante.
Bila shaka umelogwa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hujui kitu wewe umejawa na mihemko , kusifu na kuabudu. Usichokijua ni kuwa sijakuiliza kwa sababu sijui!
Wewe unayejua weka ushahidi hapa! Kwamba aliyehusika na mauaji hayo ni Magufuli.
Mbona ni kitu simple tu, thibitisha hapa, tufunge mjadala.
Sitaki story za vijiweni.
 
Wewe unayejua weka ushahidi hapa! Kwamba aliyehusika na mauaji hayo ni Magufuli.
Mbona ni kitu simple tu, thibitisha hapa, tufunge mjadala.
Sitaki story za vijiweni.
Yupo wapi Ben sanane?
Yu wqpi anzory gwanda?
Yu wapi alphonsus mawazo?
Nani alituma wanajeshi wakauwe watu wasiokuwa na hatia kule MKIRU?
Nani alimfyatulia risasi AKWILIN AKWILIN?
NANI WALIMCHARANGA MAPANGA ALPHONSO MAWAZO?
Tundu lisu alifyatuliwa risasi na nani?
Unaelewa maana ya Amri jeshi mkuu?
 
M

Magufuli anaungwa mkono na watu wafuatao.
Wajinga na wapuuzi wasioweza kupembua pumba na mchele
2. Wanufaika wa mfumo wake kama sabaya, makonda , musiba na hawa wengine wenye ID kumi kwa mamia wakiwemo watu wa kabila lake [sukuma gang]
3. Waliokuwa hawana access ya taarifa zinazomhusu yule bwana JPM
NJE YA HAPO HAUNGWI MKONO NA YYEYOTE KWAKUWA HANA CHA KUMFANYA MWENYE AKILI TIMAMU AMUUNGE MKONO
HIJO DE PUTA!
 
Yupo wapi Ben sanane?
Yupo wapi? Waulize CHADEMA!
Yu wqpi anzory gwanda?
Yupo wapi? yeye na Saanane na wengine wana uhusiano gani hapa kama sio unataka kuunga unga?
Yu wapi alphonsus mawazo?
Yupo wapi?
Nani alituma wanajeshi wakauwe watu wasiokuwa na hatia kule MKIRU?
Ni nani huyo? Una uthibitisho wowote ule....wacha longo longo!
Nani alimfyatulia risasi AKWILIN AKWILIN?
Nani? Ulimuona Hayati Raisi pale? Mtaje jina huyo aliyefyatua risasi basi! Yaani unawafanya watanzania hajui hilo na kilichotokea?
NANI WALIMCHARANGA MAPANGA ALPHONSO MAWAZO?
Umedai juubkuwa amepotea, sasa unadai alicharangwa mapanga, umemuuliza kacharangwa na nani?
Tundu lisu alifyatuliwa risasi na nani?
Tundu Lissi na Dereva wake waliwaona hao watu...wawataje basi!


Unaelewa maana ya Amri jeshi mkuu?
Amri jeshi mkuu Hachezewi. Nenda ujaribu uone moto wake!
Wacha upotoshaji, unawafanyia ugaidi familia zilizoathirika zaidi kuliko unavyotaka kuunga ajali, uhalifu,na matukio matukio ya kawaida kutokea sehemu yeyote ile duniani na kuunga yaliyotokea kuwa ni Uovu au Ukatili. Ulifanywa na mtu mmoja, kitu ambacho hakiwezekani. Hakipo! Huo ndio Upotoshaji.
 
Yupo wapi Ben sanane?
Yu wqpi anzory gwanda?
Yu wapi alphonsus mawazo?
Nani alituma wanajeshi wakauwe watu wasiokuwa na hatia kule MKIRU?
Nani alimfyatulia risasi AKWILIN AKWILIN?
NANI WALIMCHARANGA MAPANGA ALPHONSO MAWAZO?
Tundu lisu alifyatuliwa risasi na nani?
Unaelewa maana ya Amri jeshi mkuu?
kwahyo tangu Mhe.Rais Samia ashike hatamu hakuna mtu aliyepigwa risasi,kucharangwa mapanga,na hakuna watu waliokutwa kwenye viroba???watz tumezd ujuaji *****!PENDEJO.
 
Dr ulimboka alipata ulemavu Kwa amri ya magufuli?
Wale waislam wa mwembe chai walipata ulemavu Kwa amri ya magufuli?
Babu seya alifungwa Maisha Kwa amri ya magufuli?

Others they are Rulers but Magufuli was a Real Leader.
Bila kusahau mauaji ya mabomu Arusha 2012/2013.
 
Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.

Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.

Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.

Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.

Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!

Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea na kufanya janja janja.

Ahsante.
Mitandao si ni access tu na platform ya kutolea maoni? Kwani unadhani mitandaoni ni nchi kama zilivyo nchi nyingine? Kwani hao wa mitandaoni wewe unafikiria ni viumbe visivyo na ph5sical address? Au wewe mwenzetu siyo mtu bali ni Chatbot?
 
Mitandao si ni access tu na platform ya kutolea maoni? Kwani unadhani mitandaoni ni nchi kama zilivyo nchi nyingine? Kwani hao wa mitandaoni wewe unafikiria ni viumbe visivyo na ph5sical address? Au wewe mwenzetu siyo mtu bali ni Chatbot?
Unakuta fisadi moja linamiliki ID's ishirini.

Hapo ndipo tunapohoji uhalisia wa maoni ya mtandaoni.

Kumbe kuna fisadi moja limejibanza linabwata jamiiforums kwa kutumia multiple accounts.
 
Sijui kama mmegundua hili? Wale vidampa wanaomkosoa Magufuli wengi wao wamejibanza mtandaoni tu na hasa Jamiiforums.

Mtaani mambo ni tofauti sana. Watu wanamkumbuka sana Jemedari wa vita (chuma cha pua) kwa mambo mengi mema aliyoyafanya.

Hawa vidampa na mafisadi sugu waliojibanza mitandaoni ndio wanaorusha vijembe dhidi ya Magufuli.

Unakuta fisadi moja linamiliki ID's saba zenye maudhui na malengo mfanano ya kumchafua jemedari. Kazi yake ni kubwata na kufoka.

Fisadi lenyewe limebebelea mavyeti feki. Eti na lenyewe linataka ajira!

Nitoe indhari kwa Rais Samia awe makini sana na hawa mafisadi sugu. Wengi wao ni wale oya oya wanaopenda kudoea doea na kufanya janja janja.

Ahsante.
This is a logical fallacy called argumentum ad hominem.

Badala ya kuchambua hoja za mtu, unamshambulia mtoa hoja.

Ni dalili ya kukosa hoja kwa anayefanya mashambulizi.

Ni dalili ya kuwa emotional zaidi ya kuwa analytical au logical.
 
Back
Top Bottom